- Jul 8, 2023
- 195
- 704
- 93
Habari wanakijiji .
Ukweli usiopingika kwangu ni kuwa mwanaume rijali kukosa mchepuko inawezekana ila inahitaji nguvu kubwa ya Mungu mwenyewe .
Hapo zamani nikiwa mlevi sana nilipenda sana vidada vidogo vidogo ili niyasukume maisha yangu katika raha na mustarehe ukizingatia mke wangu ni mtu bize bize sana na kulijenga taifa .
Mwenzenu baada ya kuachia ofisi rasmi nilisema naacha pombe na wanawake nawatema nabaki na kipenzi changu tu mmoja yaani mke wangu wa ndoa ila sasa nilikuwa na michepuko mingi isiyokuwa na idadi , Mungu ni mwema alikuwa upande wangu yote niliitupilia mbali isipokuwa mchepuko mmoja kiukweli nilishindwa kuuacha maana bond yangu mimi na yeye ni ngumu kuamka na kusema tuachane .
Huyu ni mdada wa kihaya , niliingia naye kwenye mahusiano akiwa na umri mdogo na akiwa chuo kimoja hapo jijini kwa bwana Chalamila .
Nikamtunza kama mwanangu , nikala vinono vyake vyote na mwisho shule akahitimu , ofisini nikamvuta na sasa mfumo unamtambua .
Sasa nilijipa muda kuwa tunakoenda nitakaacha polepole ili nisikaumize maana masikini ya Mungu kanadai kapo tayari kawe ka mke kadogo ila nikijitizama na huu uzee aibu naona mimi
Nikasema basi sawa ila moyoni nawaza nimueleze ukweli kuwa binti tafuta future husband mimi nina magonjwa yangu niache nitangulie kukuwekea siti huko Janatu Firdaus .
Sasa kiini cha stori yangu ni hapa kuwa kwa haya ninayoyaona itabidi nimuache kwa lazima maana simuelewi nimekuwa namvumilia sana ila sasa imetosha binti anategeshea mida ambayo anajua fika niko nyumbani na mama la mama , sasa mchepuko wa hivyo ni wa nini ?
Mara apige mavediocall yake alafu anajua fika muda huu siwezi pokea labda simu ya kawaida .
Kwa haya naona mchepuko unafosi niuache kwa hiyari kabisa .
Ni mengi ananikomoa ila kwa hili ni big no .
Sitaki ushauri ila nawakumbusha jitahidini kuweka mipaka na hawa michepuko wanaweza kukidharirisha .
Ukweli usiopingika kwangu ni kuwa mwanaume rijali kukosa mchepuko inawezekana ila inahitaji nguvu kubwa ya Mungu mwenyewe .
Hapo zamani nikiwa mlevi sana nilipenda sana vidada vidogo vidogo ili niyasukume maisha yangu katika raha na mustarehe ukizingatia mke wangu ni mtu bize bize sana na kulijenga taifa .
Mwenzenu baada ya kuachia ofisi rasmi nilisema naacha pombe na wanawake nawatema nabaki na kipenzi changu tu mmoja yaani mke wangu wa ndoa ila sasa nilikuwa na michepuko mingi isiyokuwa na idadi , Mungu ni mwema alikuwa upande wangu yote niliitupilia mbali isipokuwa mchepuko mmoja kiukweli nilishindwa kuuacha maana bond yangu mimi na yeye ni ngumu kuamka na kusema tuachane .
Huyu ni mdada wa kihaya , niliingia naye kwenye mahusiano akiwa na umri mdogo na akiwa chuo kimoja hapo jijini kwa bwana Chalamila .
Nikamtunza kama mwanangu , nikala vinono vyake vyote na mwisho shule akahitimu , ofisini nikamvuta na sasa mfumo unamtambua .
Sasa nilijipa muda kuwa tunakoenda nitakaacha polepole ili nisikaumize maana masikini ya Mungu kanadai kapo tayari kawe ka mke kadogo ila nikijitizama na huu uzee aibu naona mimi
Nikasema basi sawa ila moyoni nawaza nimueleze ukweli kuwa binti tafuta future husband mimi nina magonjwa yangu niache nitangulie kukuwekea siti huko Janatu Firdaus .
Sasa kiini cha stori yangu ni hapa kuwa kwa haya ninayoyaona itabidi nimuache kwa lazima maana simuelewi nimekuwa namvumilia sana ila sasa imetosha binti anategeshea mida ambayo anajua fika niko nyumbani na mama la mama , sasa mchepuko wa hivyo ni wa nini ?
Mara apige mavediocall yake alafu anajua fika muda huu siwezi pokea labda simu ya kawaida .
Kwa haya naona mchepuko unafosi niuache kwa hiyari kabisa .
Ni mengi ananikomoa ila kwa hili ni big no .
Sitaki ushauri ila nawakumbusha jitahidini kuweka mipaka na hawa michepuko wanaweza kukidharirisha .