- Jul 8, 2023
- 1,320
- 2,995
- 0
Mke Mtarajiwa huna haja ya kuhangaika na mabuzi nimetoboa sasa mimi ni raisi wa Kijiji. Mke wangu mtarajiwa, najua uko sehemu salama ni kuvuta muda na jamaa mwingine kabla hatujaoana. Lakini kabla sijakuweka ndndanninayo machache ya kukueleza..
1. My future wife, Jiandae kuwa mother material wala sio material mother. Don't panic I will explain what I mean "Mke wangu mpendwa mmeo, ntakuwa father wala sio daddy kwa watoto wetu, usishangae nitawalea watoto wetu katika malezi ya tamaduni za kiafrika zaidi, hivyo kwa hilo ntakuwa conservative. Ningependa kukuona ukiwa mother wala sio mom ukawalea watoto kwa tamaduni za kigeni"
2. My future wife, nitakuoa kutokana na uzuri wa asili uliojaaliwa na Mungu, hivyo bhasi usitarajie kupata wasaa wa kujipachika kope na kucha za bandia wala mawigi (nywele za marehemu).
3. My future wife, huko uliko ni vyema ukaanza kujifunza kuendesha biashara na kusimamia, mmeo siamini katika kuajiriwa Bali kujiajiri. Ujifinze pia kutoa hotuba kwa wanakijiji na kuhudhuria mialiko mbali mbali.
4. My future wife Siku tutakayokula kiapo
kanisani, tutafanywa kuwa mwili mmoja, hivyo bhasi nisingependa tuje kutenganishwa na password kwenye simu zetu (no passwords).
5. My future wife, madhehebu yote hukiri kuwa MUNGU ni mmoja tu, hivyo bhasi nisingependa kukushuhudia ukihama madhehebu mbalimbali kutafuta ukombozi kwa MUNGU yuleyule.
MY FUTURE WIFE, msalimie sana huyo
mnayevuta nae muda kwa kwenda $amaki
$amaki, Nyama Choma na Fiesta, mimi nitakupeleka kanisani na kukuweka ndani.
1. My future wife, Jiandae kuwa mother material wala sio material mother. Don't panic I will explain what I mean "Mke wangu mpendwa mmeo, ntakuwa father wala sio daddy kwa watoto wetu, usishangae nitawalea watoto wetu katika malezi ya tamaduni za kiafrika zaidi, hivyo kwa hilo ntakuwa conservative. Ningependa kukuona ukiwa mother wala sio mom ukawalea watoto kwa tamaduni za kigeni"
2. My future wife, nitakuoa kutokana na uzuri wa asili uliojaaliwa na Mungu, hivyo bhasi usitarajie kupata wasaa wa kujipachika kope na kucha za bandia wala mawigi (nywele za marehemu).
3. My future wife, huko uliko ni vyema ukaanza kujifunza kuendesha biashara na kusimamia, mmeo siamini katika kuajiriwa Bali kujiajiri. Ujifinze pia kutoa hotuba kwa wanakijiji na kuhudhuria mialiko mbali mbali.
4. My future wife Siku tutakayokula kiapo
kanisani, tutafanywa kuwa mwili mmoja, hivyo bhasi nisingependa tuje kutenganishwa na password kwenye simu zetu (no passwords).
5. My future wife, madhehebu yote hukiri kuwa MUNGU ni mmoja tu, hivyo bhasi nisingependa kukushuhudia ukihama madhehebu mbalimbali kutafuta ukombozi kwa MUNGU yuleyule.
MY FUTURE WIFE, msalimie sana huyo
mnayevuta nae muda kwa kwenda $amaki
$amaki, Nyama Choma na Fiesta, mimi nitakupeleka kanisani na kukuweka ndani.