sio kweli sijawah onamafuta ya kula ya mia
niliona mbeya yanakua kwenye kifuko Cha ice creamsio kweli sijawah ona
Watu wabunifu sananiliona mbeya yanakua kwenye kifuko Cha ice cream
sahizi mafuta ya 100 ni take awayWatu wabunifu sana
tukiwa wadogo tulikuwa tunaenda na vikopo vyetu vya mafuta
sahizi mafuta ya 100 ni take awayWatu wabunifu sana
tukiwa wadogo tulikuwa tunaenda na vikopo vyetu vya mafuta
Jamanimafuta ya kula ya mia
Kweli mbeyaJamani
Aisee ,, asa mafuta ya mia unapika kitu gani jamaniKweli mbeya
mafuta ya kula ya mia
, nisameeweHaha acha kutusema wakatoliki
Bei kitongaNiko zangu hapa Ruvuma kuna Nyanya za 4 sh 200 mafuta ya 400
bora nyanya kipindi cha maafriko(ya nyanya) bei inapunguaga,Niko zangu hapa Ruvuma kuna Nyanya za 4 sh 200 mafuta ya 400
Ipo boss mbeya, songwe uhakikahii hapana Dr.
Ila kwa saivi hii imepungua asee, kutokana na mikate inapatikana kirahisi. Kipindi cha nyuma mkate unanunua njia panda mbele ya hapo hupati ndio maana ilikua hivyo.ukienda kusalimia Rombo Kilimanjaro kama hujaenda na mkate unadharaulika sana
Ukienda na mkate wanakuheshimu sana. Wachaga wanathamini sana mikate
Haha sasa ukiwa unaend Rombo unakuta wanauza kwa fujo wanajua huko mikate kupatikana no shida ila moshi inapatikana kirahisiIla kwa saivi hii imepungua asee, kutokana na mikate inapatikana kirahisi. Kipindi cha nyuma mkate unanunua njia panda mbele ya hapo hupati ndio maana ilikua hivyo.
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.