- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Nawasalim wote!
Mtu wa Mungu jifunze kuona uwepo wa Mungu katika taabu unayo pitia, katika mazingira yote tafuta kuona uwepo wa Mungu, kwani kama utakua kila wakati unaona tu matatizo na taabu bila kujaribu kutafuta kumuona Mungu utabaki katika taabu siku zote..
Mungu anakutizama kama mtu wa tofauti lakini wewe unajiona kama mtu wataabu, duni nk...
Usiipe shida unayopitia nafasi ya kukushape au kukupa jina, usiruhusu hali au mazingira au mfumo ukakupa jina (masikini, mgonjwa, mtumwa, tasa,nk)
Mungu anakujua kwa jina lako la ushindi kuwa wewe ni mzima, shujaa, mshindi, tajiri. nk ni wakati sasa wa wewe kuboresha usikivu wako, ili uweze kutambua uwepo wa Mungu katika shida yako.
Jua kwamba popote uendapo, yuko pamoja nawe!
Inaendelea
Mtu wa Mungu jifunze kuona uwepo wa Mungu katika taabu unayo pitia, katika mazingira yote tafuta kuona uwepo wa Mungu, kwani kama utakua kila wakati unaona tu matatizo na taabu bila kujaribu kutafuta kumuona Mungu utabaki katika taabu siku zote..
Mungu anakutizama kama mtu wa tofauti lakini wewe unajiona kama mtu wataabu, duni nk...
Usiipe shida unayopitia nafasi ya kukushape au kukupa jina, usiruhusu hali au mazingira au mfumo ukakupa jina (masikini, mgonjwa, mtumwa, tasa,nk)
Mungu anakujua kwa jina lako la ushindi kuwa wewe ni mzima, shujaa, mshindi, tajiri. nk ni wakati sasa wa wewe kuboresha usikivu wako, ili uweze kutambua uwepo wa Mungu katika shida yako.
Jua kwamba popote uendapo, yuko pamoja nawe!
Inaendelea