nipe linkpita kwenye piracy sites huwezi kosa
google tu list ya piracy sites, ni nyingi sananipe link
be carefulngoja niisake
au unasehemu shekh unielekeze nikachukue, pia nataka na ant virusbe careful
bila piracy muafrika hatoboi, nashangaa mnavoogopa wakati kila kitu mnakipata kwa piracybe careful
sawa developergoogle tu list ya piracy sites, ni nyingi sana
onyo; kuna malware haziko regulated likikukuta jambo usinilaumu
ila desktop apps zangu zote nimepirate bado sijapata changamoto
unatumia antvirus gani?bila piracy muafrika hatoboi, nashangaa mnavoogopa wakati kila kitu mnakipata kwa piracy
sijui lakini, mimi nishazoea, hadi anti virus nimeipirate
nimepata setup ndio inadownload game sasa sijui itachukua mda gani?Ocean of games ndo funga kazi
aviraunatumia antvirus gani?
Jana umenitumia site yeny virus kuwa makini jela hakuna mihogo we dogobila piracy muafrika hatoboi, nashangaa mnavoogopa wakati kila kitu mnakipata kwa piracy
sijui lakini, mimi nishazoea, hadi anti virus nimeipirate
kama nzuri nitumie setup basiavira
labda pc ni mbovu toka kitambonimepata setup ndio inadownload game sasa sijui itachukua mda gani?
sema wabongo tumeaminishwa sio kwamba hata game kwenye pc linaua pc
mchawi bando mzee 4.36GB natoa wapikama nzuri nitumie setup basi
nipe basi hata link nikadownloadmchawi bando mzee 4.36GB natoa wapi
Utaelewa tu hata kimya kimyahata sielewi kinacho endelea
Hii sikusoma I'd yako kumbe ushakuwa billionaireNalipataje?
Wewe unataka ulipataje??Nalipataje?
hahaha hata mimi nimeiona nkashtukaHii sikusoma I'd yako kumbe ushakuwa billionaire
Mzee wa CHAI ebu fungua uzi kuhusu hii kitu,pita kwenye piracy sites huwezi kosa
Only bilionea kijijini main sponsorHii sikusoma I'd yako kumbe ushakuwa billionaire
Titumie basi kwa googledriveWewe unataka ulipataje??
Hii sio chaiMzee wa CHAI ebu fungua uzi kuhusu hii kitu,
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.