- Jun 3, 2023
- 2,711
- 6,226
- 113
Dah kunanyimbo fulani hivi ukizisikia zinatia huruma sana na kukukumbusha majonzi
Mimi hizi
1.Macvoice ile nyota mwezi nini chozi (jina nimesahau )
2.Unaempenda kam mpenda mwingine, usilazimishe utazeeka vinaya
Wewe je? (Weka audio ikiwezekana
@Gily nisaidie kuweka majina ya hizi nyimbo audio
primarilymwaka 2001 nilimpenda demu hapo niko primary basi kuja kugombana na mdogo wangu anayenifuatia nikaachana na yule binti. Dah
basi nilikariri nyimbo yote ya Machozi - Lady Jay D kujiliwaza
ushibwada nimeanz kitamboprimarily
we nomaaaushibwada nimeanz kitambo
nilikuw mpig Chabo maarufu
kwahiyo saiz ndo unataka kutuambia umeacha mapenzi kabisaaaaHmn ile kuona unajipendekeza mkiwa wote ila distance kdg tu
wasiwasi ya banana zoro hasa hiki kipandehuruma sana na kukukumbusha majonzi
Yani yani sitakii kbskwahiyo saiz ndo unataka kutuambia umeacha mapenzi kabisaaaa
Duuuh
aiseee mapenzi yanakutesa kama @mshamba_mkuu jana anadai ana sonona
vizuri kama ni hivyo..Mungu aendelee kukutia nguvu ukipite hicho kipindi salamaYani yani sitakii kbs
yalinitesa, ila siyo sasaaiseee mapenzi yanakutesa kama @mshamba_mkuu jana anasai ana sonona
yamekukuta nini tena....ile mapenzi haya yaacheni tu kwakweli
zamani sio saiziyamekukuta nini tena....
fungua uzi utupe mkasa mzima....zamani sio saizi
mbona niliwekaga jf kulefungua uzi utupe mkasa mzima....
nautafuta.... kwanini nipitwembona niliwekaga KF kule
Ushaanza mahubiri nani ka kwambia nipo kwenye hiko kipindivizuri kama ni hivyo..Mungu aendelee kukutia nguvu ukipite hicho kipindi salama
jamani mtu mpole unamjibu hivyo @Gily dogo ameanza kuleta za kuletaUshaanza mahubiri nani ka kwambia nipo kwenye hiko kipindi
hiyo blue-tick kuna vigezo gani vya kuipataMbona ipo slow tu mzee, tatizo umesoma kwa sauti ya mzee mpili
mshaanza aisee nipambane na wanangu nyumbani nihangaike na watoto wakubwajamani mtu mpole unamjibu hivyo @Gily dogo ameanza kuleta za kuleta
Upload ID yako kwenye settings za account yakohiyo blue-tick kuna vigezo gani vya kuipata
NIKIKAMATA WALAHY NITAUAmshaanza aisee nipambane na wanangu nyumbani nihangaike na watoto wakubwa
kama vipi niandae pambano tuheshimian
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.