- Jul 9, 2023
- 3,787
- 3,770
- 113
Rais mstaafu wa awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amefariki leo, Februari 29, 2024 saa 11:30 Jioni katika hospitali ya Mzena, Dar es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu ya ugonjwa wa Saratani ya Mapafu.
Tangu Novemba 2023, alikuwa anapatiwa matibabu huko London, Uingereza na baadaye kurejeshwa nchini kuendelea na Matibabu katika hospitali ya Mzena hadi leo ambapo amepatwa na mauti.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza siku 7 za maombolezo ambapo kuanzia Machi 1, 2024, bendera zitapepea nusu mlingoti.
Atazikwa Machi 2, 2024 Unguja, Zanzibar.![20240229_200102.jpg 20240229_200102.jpg](https://kijijiforums.com/data/attachments/2/2546-6e897fc538aa5804c6eae2c8625c71a5.jpg)
![Ali_Hassan_Mwinyi.jpg Ali_Hassan_Mwinyi.jpg](https://kijijiforums.com/data/attachments/2/2544-c16c3efe6dfe29c354e562e7c5a49070.jpg)
Mwinyi, Ali Hassan alizaliwa May 8, 1925 in Dar es Salaam, Tanzania. Mtoto wa Hassan and Asha Sheikh Mwinyi, Ali Hassan Mwinyi.
Alipata Diploma kutoka Chuo Kikuu cha Elimu ya Watu Wazima, Dublin Uingereza kati ya 1954-56. Mhe. Mwinyi kitaaluma ni mwalimu, alifundisha shule za Msingi Mangapwani na Bumbwini Zanzibar. Zaidi, Mhe. Mwinyi ana cheti cha umahiri katika Lugha ya Kiingereza alichopata katika Taasisi ya Regent, Uingereza mwaka 1960 na Cheti cha Umahiri katika Lugha ya Kiarabu alipata Cairo, Misri mwaka 1972-74.
Mhe. Ali Hassan Mwinyi alijiunga na Afro Shiraz Party (ASP) mwaka 1964 na kushika nyadhifa tofauti za Serikali ya Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Katibu Mkuu Wizara ya Elimu ya Zanzibar mwaka 1963. Mwaka 1970 alikuwa Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais. Ofisi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kati ya 1982-83 alikuwa Waziri wa Afya, Mambo ya Ndani, Maliasili na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri kuanzia mwaka 1977 hadi 1982.
Historia fupi ya mzee Mwinyi
Mwaka 1983 aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais na mwaka 1984 alichaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sehemu hii inakuletea baadhi ya hotuba alizozitoa wakati wa uongozi wake.
Tangu Novemba 2023, alikuwa anapatiwa matibabu huko London, Uingereza na baadaye kurejeshwa nchini kuendelea na Matibabu katika hospitali ya Mzena hadi leo ambapo amepatwa na mauti.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza siku 7 za maombolezo ambapo kuanzia Machi 1, 2024, bendera zitapepea nusu mlingoti.
Atazikwa Machi 2, 2024 Unguja, Zanzibar.
![20240229_200102.jpg 20240229_200102.jpg](https://kijijiforums.com/data/attachments/2/2546-6e897fc538aa5804c6eae2c8625c71a5.jpg)
![Ali_Hassan_Mwinyi.jpg Ali_Hassan_Mwinyi.jpg](https://kijijiforums.com/data/attachments/2/2544-c16c3efe6dfe29c354e562e7c5a49070.jpg)
Mwinyi, Ali Hassan alizaliwa May 8, 1925 in Dar es Salaam, Tanzania. Mtoto wa Hassan and Asha Sheikh Mwinyi, Ali Hassan Mwinyi.
Alipata Diploma kutoka Chuo Kikuu cha Elimu ya Watu Wazima, Dublin Uingereza kati ya 1954-56. Mhe. Mwinyi kitaaluma ni mwalimu, alifundisha shule za Msingi Mangapwani na Bumbwini Zanzibar. Zaidi, Mhe. Mwinyi ana cheti cha umahiri katika Lugha ya Kiingereza alichopata katika Taasisi ya Regent, Uingereza mwaka 1960 na Cheti cha Umahiri katika Lugha ya Kiarabu alipata Cairo, Misri mwaka 1972-74.
Mhe. Ali Hassan Mwinyi alijiunga na Afro Shiraz Party (ASP) mwaka 1964 na kushika nyadhifa tofauti za Serikali ya Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Katibu Mkuu Wizara ya Elimu ya Zanzibar mwaka 1963. Mwaka 1970 alikuwa Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais. Ofisi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kati ya 1982-83 alikuwa Waziri wa Afya, Mambo ya Ndani, Maliasili na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Misri kuanzia mwaka 1977 hadi 1982.
Historia fupi ya mzee Mwinyi
Mwaka 1983 aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais na mwaka 1984 alichaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sehemu hii inakuletea baadhi ya hotuba alizozitoa wakati wa uongozi wake.