Serikali tengenezeni muongozo unaowaonesha wataalamu wa afya vijijini mipaka ya kazi zao kulingana na taaluma zao .

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Watoto wa kidugala

New member
Platinum Villager
Jul 8, 2023
195
704
0
Afya ni Afya wote tutakufa .
Wanakijiji habari zenu , Mimi najua waliowengi kwa wanakijiji mmesafiri vijijini na mijini , leo mwenzenu naikumbusha tena serikali kuwa hawa watu wa afya hasa kwenye hizi zahanati ni wazi kuwa wengi wao ni watabibu .

Nisichoweza kupinga ni kuwa kwenye ulimwengu wa mambo ya afya ni kuwa exprience inamatter zaidi kuliko vyeti .

Hivyo sishangai wala sikatai kuwa ukiwa mtabibu unaweza kufanya kazi ya MD endapo exprience yako ni kubwa kutokana na kuwa karibu na mtu wa taaluma hiyo japo ni kinyume na taratibu .
Sasa kutokana kuwa ni kinyume na taratibu na imefika mahali ndugu zangu wa afya huku vijijini hasa kwenye hivi vizahanati kujitwisha majukumu makubwa ambayo kiuhalisia hawana uwezo wa kumalizana na tatizo mpaka mwisho .

Natoa mfano , kwenye hivi vizahanati ni ngumu kukuta huduma ya matibabu kwa watoto wenye utapiamlo , hawaruhusiwi kumzalisha mwanamke mwenye kubeba mimba iliyo mimba ya kwanza kwake , hawaruhusiwi kumfanyia mtu yeyote upasuaji maana vifaa tiba havipo , hawaruhusiwi kutibu magonjwa sugu yoyote zaidi kazi ya wao ukifika na mojawapo ya shida tajwa watakupa referral ili uende hospitali au kituo cha afya chenye uwezo wa matibabu kwa gonjwa husika .

Sasa wao kazi yao ni ipi ?
Kwao ataenda mjamzito mwenye ujauzito wa pili na kuendelea , ataenda mtu aliyemuathirika wa Gonjwa la UKIMWI kupata ushauri na nasaha lakini pia kupewa dawa za kufubaza virusi na pia ataenda mama mjamzito kwaajili ya clinic .

Sasa imekuwa ni shida kwa hawa wataalamu hivi sasa wanavamia hata kazi wasizoruhusiwa lengo wajiingizie chochote kitu , imefika mahali watu wanaandikiwa madawa ambayo sio sahihi kikubwa bwana tabibu apate pesa .

Nimewiwa kuiomba serikali kwenye semina mbalimbali za afya na pia kutolewe muongozo kwa maandishi ili wanavijiji wajue fika kuwa kwa magonjwa yapi na yapi abaki hapo kijijini au aende mbele lakini uwe wito kwa wataalamu hawa kukumbuka kuwa kipi ni wajibu wao na kipi sio wajibu wao .
Asubuhi ya leo nimehudhuria mazishi ya binti wa miaka miwili aliyekuwa na utapiamlo ila wataalamu wa zahanati wamejikuta wanapambana kumtibu wao na mwisho wamempoteza .

Asanteni .
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
Staff member
Jun 4, 2023
7,007
22,560
113
Dr santos

Mzee huwa najiuliza ulikuwa daktari wa nini? Watu humu ndani hawajui kuwa tuko na doctor bingwa Watoto wa kidugala

Kuhusu afya umenena vyema ila kuna jambo sijaliona kama lina umakini katika sekta ya afya. Tumeona polisi na wanajeshi wakigharamikiwa kwenda kozi mbali mbali. Ila muamko umekuwa mdogo sana kwa madaktari

Juzi hapo kulikuwa na kozi Mwanza ya IVF. Cha kushangaza semina inatolewa kawaida mno hata mtu angeweza kukaa nyumbani akafatilia mtandaoni

Pia nashauri kuwe na mitihani ambapo madaktari wanatakiwa wapatiwe kuwapima umahiri wao. Wengi wanapomaliza shule wanaona wamemaliza ila ingehitajika kila siku watahiniwe kwa sababu sekta ina mabadiliko makubwa kila siku. Magonjwa nayo yanakuja mapya kila kukicha. Hata polisi wanenda mafunzo mara kwa mara.

Hata UTI infection kwa mazingira hutofautiana sana. Ukiwa Manzese infection na dawa antibiotics zinaweza kuwa prescribed different from someone in Mwanza. Sasa daktari anahamishwa anaenda mkoa mwingine wakati huwa kuna magonjwa yanaendana na mazingira

Haya nayo yakatazamwe.
 

Watoto wa kidugala

New member
Platinum Villager
Jul 8, 2023
195
704
0
Dr santos

Mzee huwa najiuliza ulikuwa daktari wa nini? Watu humu ndani hawajui kuwa tuko na doctor bingwa Watoto wa kidugala

Kuhusu afya umenena vyema ila kuna jambo sijaliona kama lina umakini katika sekta ya afya. Tumeona polisi na wanajeshi wakigharamikiwa kwenda kozi mbali mbali. Ila muamko umekuwa mdogo sana kwa madaktari

Juzi hapo kulikuwa na kozi Mwanza ya IVF. Cha kushangaza semina inatolewa kawaida mno hata mtu angeweza kukaa nyumbani akafatilia mtandaoni

Pia nashauri kuwe na mitihani ambapo madaktari wanatakiwa wapatiwe kuwapima umahiri wao. Wengi wanapomaliza shule wanaona wamemaliza ila ingehitajika kila siku watahiniwe kwa sababu sekta ina mabadiliko makubwa kila siku. Magonjwa nayo yanakuja mapya kila kukicha. Hata polisi wanenda mafunzo mara kwa mara.

Hata UTI infection kwa mazingira hutofautiana sana. Ukiwa Manzese infection na dawa antibiotics zinaweza kuwa prescribed different from someone in Mwanza. Sasa daktari anahamishwa anaenda mkoa mwingine wakati huwa kuna magonjwa yanaendana na mazingira

Haya nayo yakatazamwe.
Ni kweli kabisa nilikuwa daktari na bado ni daktari ila sio kwenye kuajiriwa tena .

Mafunzo hayatolewi ipasavyo kama usemavyo ila pia kunakuwa na hizi semina za mara kwa mara kwaajili mambo mapya ya afya ila wengi wao hawana muako maana malipo siku hizi ni kukopana sana yaani namaanisha watu wanahudhuria mafunzo au wanafanya kampeni mbalimbali kulingana na magonjwa mapya au dalili za uwepo wa gonjwa hatarishi ila sasa malipo kwa wataalamu ni changamoto sana , wanalipwa japo kwa mbinde sana .

Note me :sijajua ni halmashauri moja au zote nchini ila huu ujinga unarudisha morale za wataalamu nyuma sana japo pia wataalamu wenyewe wako shalllow kiasi chake haturejelei mafunzo hata kwenye mitandao kisa kuogopa kuonekana daktari wa google au daktari wa vitabu .

Bwana raisi mimi ni daktari wa mifupa by proffessional ila nilijikuta natumwa kwenye ujinga mwingine wa afya sababu ya tabia zangu na mfumo wa serikali yetu .

Haukuwahi kukutana na daktari wa watoto anamtibu mtu malaria ?

😀 itoshe kusema namatani niwe mchoma sindano wenu hapa kijijini .
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
Staff member
Jun 4, 2023
7,007
22,560
113
Ni kweli kabisa nilikuwa daktari na bado ni daktari ila sio kwenye kuajiriwa tena .

Mafunzo hayatolewi ipasavyo kama usemavyo ila pia kunakuwa na hizi semina za mara kwa mara kwaajili mambo mapya ya afya ila wengi wao hawana muako maana malipo siku hizi ni kukopana sana yaani namaanisha watu wanahudhuria mafunzo au wanafanya kampeni mbalimbali kulingana na magonjwa mapya au dalili za uwepo wa gonjwa hatarishi ila sasa malipo kwa wataalamu ni changamoto sana , wanalipwa japo kwa mbinde sana .

Note me :sijajua ni halmashauri moja au zote nchini ila huu ujinga unarudisha morale za wataalamu nyuma sana japo pia wataalamu wenyewe wako shalllow kiasi chake haturejelei mafunzo hata kwenye mitandao kisa kuogopa kuonekana daktari wa google au daktari wa vitabu .

Bwana raisi mimi ni daktari wa mifupa by proffessional ila nilijikuta natumwa kwenye ujinga mwingine wa afya sababu ya tabia zangu na mfumo wa serikali yetu .

Haukuwahi kukutana na daktari wa watoto anamtibu mtu malaria ?

😀 itoshe kusema namatani niwe mchoma sindano wenu hapa kijijini .
Hongera sana mzee wangu tunawahitaji sana madaktari mabingwa kama nyinyi Wanasema madaktari hustaafu ila hawaachi kuwa madakatri. Nilitegemea utakuwa unafundisha chuo flani mjini, au hutaki kufundisha?
 

Dr santos

New member
Platinum Villager
Jun 4, 2023
251
571
0
Nimescroll haraka nikajua nitakutana na picha lakini ola.

Suala la professional exams zipo kwa madaktari, pia pharmacist na nurses ukifaulu unakua licensed kama baraza wanaamini huyu mtu ni competent.

Kuhusu dawa na mazingira sidhani kama kuna ukweli ila ni kasumba tu. Document inayotuunganisha ni standard treatment guideline hivyo dawa ya uti utakayopewa mwanza ndo hio hio ya dar labda management zitakua tofauti kulingana na stage of disease.
Mtu mwenye uti 35-40hpf mangement haiwezi kua sawa na 80hpf
 

Watoto wa kidugala

New member
Platinum Villager
Jul 8, 2023
195
704
0
Hongera sana mzee wangu tunawahitaji sana madaktari mabingwa kama nyinyi Wanasema madaktari hustaafu ila hawaachi kuwa madakatri. Nilitegemea utakuwa unafundisha chuo flani mjini, au hutaki kufundisha?
Ni kweli rafiki huko ningefundisha ila sasa niko na baadhi ya project na hawa watoto ninaosema wa kidugala , by the way napata sana maombi ya kufundisha vyuo na colleges mbalimbali shida ni kuwa sipo tayari sababu ya masilahi ya hawa wanangu .

Ukiwa na watoto mtaani kwako unayedhani ni muathirika wa gonjwa la UKIMWI ila anishi maisha hatarishi tafadhali tuwasiliane nina shida nao sana .
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
Staff member
Jun 4, 2023
7,007
22,560
113
Ni kweli rafiki huko ningefundisha ila sasa niko na baadhi ya project na hawa watoto ninaosema wa kidugala , by the way napata sana maombi ya kufundisha vyuo na colleges mbalimbali shida ni kuwa sipo tayari sababu ya masilahi ya hawa wanangu .

Ukiwa na watoto mtaani kwako unayedhani ni muathirika wa gonjwa la UKIMWI ila anishi maisha hatarishi tafadhali tuwasiliane nina shida nao sana .
Unataka awe na umri gani? Vijana ni wengi sana mtaani. Ungeweka post hapa kijiji kuhusu hao watoto ili tuweze sambaza kupitia link ya kijiji huko mtandaoni
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
Staff member
Jun 4, 2023
7,007
22,560
113
Nimescroll haraka nikajua nitakutana na picha lakini ola.

Suala la professional exams zipo kwa madaktari, pia pharmacist na nurses ukifaulu unakua licensed kama baraza wanaamini huyu mtu ni competent.

Kuhusu dawa na mazingira sidhani kama kuna ukweli ila ni kasumba tu. Document inayotuunganisha ni standard treatment guideline hivyo dawa ya uti utakayopewa mwanza ndo hio hio ya dar labda management zitakua tofauti kulingana na stage of disease.
Mtu mwenye uti 35-40hpf mangement haiwezi kua sawa na 80hpf
Geographical distribution ni kitu cha msingi sana japokuwa hatutazami. Mfano UTI ni infections nyingi tu na zinasababishwa na bacteria tofauti tofauti. Magonjwa mengine ni very common kutokana na mazingira

Madaktari mnatengenezwa sana kulingana na mazingira yenu ya kazi. Ukipelekwa Asia unaweza toa dawa kwa gonjwa lisilokuwepo. Hata katika hali ya kawaida mtu anaweza kuja na Dengue na doctor asijue, kwa nini? huwa mnapata kujua baada ya tahadhari ya wizara ya Afya kuna dengue na dalili zake ni hizi na hizi

Nimetolea mfano dengue ila hata magonjwa memgi ya mlipuko madaktari wengi hawajaona kesi zale..Je ushawahi ona kesi ya Zika? madaktari wengi hawajui kabisa.
 

Dr santos

New member
Platinum Villager
Jun 4, 2023
251
571
0
Geographical distribution ni kitu cha msingi sana japokuwa hatutazami. Mfano UTI ni infections nyingi tu na zinasababishwa na bacteria tofauti tofauti. Magonjwa mengine ni very common kutokana na mazingira

Madaktari mnatengenezwa sana kulingana na mazingira yenu ya kazi. Ukipelekwa Asia unaweza toa dawa kwa gonjwa lisilokuwepo. Hata katika hali ya kawaida mtu anaweza kuja na Dengue na doctor asijue, kwa nini? huwa mnapata kujua baada ya tahadhari ya wizara ya Afya kuna dengue na dalili zake ni hizi na hizi

Nimetolea mfano dengue ila hata magonjwa memgi ya mlipuko madaktari wengi hawajaona kesi zale..Je ushawahi ona kesi ya Zika? madaktari wengi hawajui kabisa.
ngumu sana ku deal na epidemic diseases bila research ya uhakika. Hu tunatibu dalili zinazòonekana ili kupunguza risk ya kifo
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
Staff member
Jun 4, 2023
7,007
22,560
113
Dr santos
Kuna magonjwa mengine unayapata kutokana na mazingira husika. Huko Ughaibuni watu huulizwa in taking patients history kama ulisafiri au umetokea mazingira gan

Dr na mzee wetu Watoto wa kidugala yeye kapata kuishi nchi za watu nadhani anawez kuwa ameona hii

Kwanza, ukifika hospital unapewa form special yenye taarifa rasmi za mgonjwa zinazohitajika

Pili, katika kuchukua patients history kama huna file hospitalini hapo watapiga simu sehemu ulipotibiwa kabla kujua file lako

Bongo kuna uzembe sana, unajua mgonjwa anafanyiwa kipimo cha MRI. Hata kuuliza kama nana chuma mwilini haulizwi unakuta mtu analata roho chumba cha MRI uzembe mwingi

Mgonjwa anatakiwa apimwe pressure and sugar levels kabla hata hajapewa huduma yeyote. Nina mgonjwa alijaziwa maji nusu afe kwa sababu doctor hakuangalia suger level ikoje. Very unprofessional. .
 

Watoto wa kidugala

New member
Platinum Villager
Jul 8, 2023
195
704
0
Inasikitisha sana japo hata clients wengi wanakatisha tamaa , unaweza kuanza kumuhoji client wako japo akupe historia ya ugonjwa wake na afya kiujumla ni hapo ataanza kukudanganya wengine uenda mbali zaidi hukataa na kusema mimi naumwa hili hivyo nahitaji tiba ya hiki tu 🤔

Bado hapo haujakutana mtekinolojia wa hapo hospitali awe na mambo mengi kiasi cha kukuandikia uwongo anaojisikia ilimradi aendelee na issue zake .

Vipi kwenye vifaa tiba vipo vya kutosha kuwawezesha wahusika wa afya kuijua nje ndani historia ya afya ya muhusika ?

Kikubwa tutafute hela jamani , kuna magonjwa hayauwi ila ni kutokana na mazingira tuliyokuwepo .
Dr santos
Kuna magonjwa mengine unayapata kutokana na mazingira husika. Huko Ughaibuni watu huulizwa in taking patients history kama ulisafiri au umetokea mazingira gan

Dr na mzee wetu Watoto wa kidugala yeye kapata kuishi nchi za watu nadhani anawez kuwa ameona hii

Kwanza, ukifika hospital unapewa form special yenye taarifa rasmi za mgonjwa zinazohitajika

Pili, katika kuchukua patients history kama huna file hospitalini hapo watapiga simu sehemu ulipotibiwa kabla kujua file lako

Bongo kuna uzembe sana, unajua mgonjwa anafanyiwa kipimo cha MRI. Hata kuuliza kama nana chuma mwilini haulizwi unakuta mtu analata roho chumba cha MRI uzembe mwingi

Mgonjwa anatakiwa apimwe pressure and sugar levels kabla hata hajapewa huduma yeyote. Nina mgonjwa alijaziwa maji nusu afe kwa sababu doctor hakuangalia suger level ikoje. Very unprofessional. .
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
Staff member
Jun 4, 2023
7,007
22,560
113
Inasikitisha sana japo hata clients wengi wanakatisha tamaa , unaweza kuanza kumuhoji client wako japo akupe historia ya ugonjwa wake na afya kiujumla ni hapo ataanza kukudanganya wengine uenda mbali zaidi hukataa na kusema mimi naumwa hili hivyo nahitaji tiba ya hiki tu 🤔

Bado hapo haujakutana mtekinolojia wa hapo hospitali awe na mambo mengi kiasi cha kukuandikia uwongo anaojisikia ilimradi aendelee na issue zake .

Vipi kwenye vifaa tiba vipo vya kutosha kuwawezesha wahusika wa afya kuijua nje ndani historia ya afya ya muhusika ?

Kikubwa tutafute hela jamani , kuna magonjwa hayauwi ila ni kutokana na mazingira tuliyokuwepo .
Vifaa tiba haviko vya kutosha kutokana na uharibifu na uuzaji vifaa hivyo na baadhi ya wahusika
Hospital kubwa hazina CT scan, MRIs hata x rays machines. Gari ambulance tu mtihani

tutafika tumechoka sana
 

Urban Edmund

New member
Platinum Villager
Jun 26, 2023
636
1,320
0
Kaka uko kwenye afya ndo maana umeyajua yote haya ukiwa mtu tu huwezi kujua ila kukiwa na scope of practice katika kazi inakua safi sana yani
 

Similar threads

Leo bwana nilikua busy from morning mpaka nakuja kushtuka ninywe chai saa 6 na 30 na hapo nakipindi saa 7 ikabidi nichague moja niache moja from home to chuo kwa muda huu wa mchana ni less than an hour Ikabidi niache chai ni wai chuo nikapanda road kusubiri bajaji kweli ikaja nauli buku hapo...
Replies
19
Views
541
Mbeya. Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya itaanza kusikiliza maombi ya kupinga mkataba uwekezaji wa bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai kupitia Kampuni DP World baada ya kupokea majibu ya Serikali. Katika maombi hayo ya kikatiba, waleta maombi wanaitaka Serikali kuieleza mahakama sababu za...
Replies
1
Views
580
Top Bottom