Eeeeeee bwana weeee, siku tuliokuwa tunaisubiri kwa hamu na Hali na Mali ya kushuhudia msimu mwingine was mashindano, hasa baada ya Yanga kuwa na msimu mzuri uliopita
Je huu utakuwa wa Nani?
Ngao ya jamiii ilipigwa mechi Yanga na Azam, Yanga akaibuka kidedea kwa 2-0
Kikapigwa Tena kesho...
Klabu pendwa zaidi nchini za Simba na Yanga kila moja imeweka wazi bajeti ya msimu wake ujao katika kujiimarisha ili kutimiza malengo waliyojiwekea kwenye michuano ya Kitaifa na Kimataifa.
Simba kupitia kwa CEO wake Imani Kajula imetangaza Bajeti ya Bilioni 24 kwa msimu wa 2023/2024
”Eneo la...
Naona kabisa baada ya ile sare na dynamo na kiwango Cha jumla Cha wachezaji naona kabisa
Uongozi unafikia makubaliano ya pande zote mbili..
Naona kabisa