mshamba_mkuu
New member
- Jun 4, 2023
- 1,563
- 4,525
- 0
mi mvivu sana kusoma, afu sipendi shuleMnaigaga tembo kunya nyie.
mi mvivu sana kusoma, afu sipendi shuleMnaigaga tembo kunya nyie.
microControllers upo njema mzee ?Acha dharau za bure bure Jamifor nilikuwepo tangu October 4 last year cheki semester ya 1 nilipiga ngapi hapo na semester iliisha mwezi wa 3. Hujui kuwa nilikuwa one of the students wenye GPA kubwa na cheki somo la kiduanzi nililosap 47 .
Somo nililopitwa ni programming pekee maana kulikuwa na 80's kadhaa.
Hayo mengine yote nilicharaza wote na walivyokuwa wanajikuta wapenda shule sasa mi kwa mwezi natinga mara 1 muda wote nipo humu.
Tukishinda huku mitandaoni tuna akili zetu. Mkuuu hii course yenyewe nimeisoma bahati mbaya tu ningeenda engineering mimi. Basi tu, nina malengo yangu binafsi.
Sasa nikiwaonesha ya O level na A level si mtakimbia hapa
Na ya semester ya 2 ntawaletea hapa muone muache kunidiss diss ye34nbe ni mtu mzito sana.....
Na nitakinukisha tena Jamiifo. Idiots
View attachment 383
Nani mpenda shule sasa, mkuu hamnaga hiyo sema basi tu tunatafuta cheti..... Na second option in lifemi mvivu sana kusoma, afu sipendi shule
Yes nimeipiga semester hii mkuu,microControllers upo njema mzee ?
utafika mbali, mimi na shule no....Nani mpenda shule sasa, mkuu hamnaga hiyo sema basi tu tunatafuta cheti..... Na second option in life
Hapa napigia mahesabu. Hata nikiwa na mtoto nitam motivate asome hata yy ataona baba yake alikuwa kichwa darasani.
Imagine unazeeka huna elimu huna hela si utakuwa kituko kwenye familia.
Mi Kuna watu wapo hivyo kwenye ukoo wetu of course lazima uwaone kama watu flani hivi jau. Tena ukute alikuwa na uwezo wa kusoma kabisa.
Miaka hiyo ila alipuuza matokeo yake ndo huwa mabaya.
Utakosa heshima za aina zote. Mi kuna matajiri wengi nawajua wana value sana elimu. Japo ni business men. Wenye pesa zao.
It's ok.utafika mbali, mimi na shule no....
Alah kumbe upo humu aisee sikujuaNipo tele
Mdogo wangu nakupa big up! piga shule mshamba ni mtu aliyekata tamaa ngoja tuweke forum ya waliokata tamaa akawe mwenyekiti waoNani mpenda shule sasa, mkuu hamnaga hiyo sema basi tu tunatafuta cheti..... Na second option in life
Hapa napigia mahesabu. Hata nikiwa na mtoto nitam motivate asome hata yy ataona baba yake alikuwa kichwa darasani.
Imagine unazeeka huna elimu huna hela si utakuwa kituko kwenye familia.
Mi Kuna watu wapo hivyo kwenye ukoo wetu of course lazima uwaone kama watu flani hivi jau. Tena ukute alikuwa na uwezo wa kusoma kabisa.
Miaka hiyo ila alipuuza matokeo yake ndo huwa mabaya.
Utakosa heshima za aina zote. Mi kuna matajiri wengi nawajua wana value sana elimu. Japo ni business men. Wenye pesa zao.
On itMdogo wangu nakupa big up! piga shule mshamba ni mtu aliyekata tamaa ngoja tuweke forum ya waliokata tamaa akawe mwenyekiti wao
Shukran. Mkuu, . UnderstoodAlah kumbe upo humu aisee sikujua
basi kaa ukijua nakulinda ban hupati kikubwa tu using dislike post zangu inauma
sijakataa tamaa, shule haikuhakikishii chochote....Mdogo wangu nakupa big up! piga shule mshamba ni mtu aliyekata tamaa ngoja tuweke forum ya waliokata tamaa akawe mwenyekiti wao
mods wanatakiwa wawe na masterssijakataa tamaa, shule haikuhakikishii chochote....
hiyo heshima ya kusoma masters hiweki ugali mezani
mnivue madaraka tumods wanatakiwa wawe na masters
utalia kama mangimnivue madaraka tu
Matusi hayo bwana mwarabumods wanatakiwa wawe na masters
Ulitisha hiyo secondari hiyoSitakuja kusahau nilipiga msuli kuanzia saa 3 usk mpaka saa 12 asb, nimeingia kwa pepa saa moja na nusu asubuhi nilichokisoma chote hakipo kwenye pepa. Nilicheka mpaka msimamizi alinitoa nje kwanza.
@GilyNipo tele
Zion college hyo mkuu, koleji bora kbsa TanganyikaUlitisha hiyo secondari hiyo
dah uko chuo mwaka wa ngap sasa?""" oyaa hii paper nikipata 5 mi mwanaume """ na kweli utoboi juu ya tano
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.