- Jun 28, 2023
- 303
- 876
- 93
Amani iwe nanyi wanakijiji
Kwenye cheti cha kifo sababu ya kifo haundikwa, kama malaria, kujiua nk
Je umewahi kuona cheti cha kifo cha ndugu , jamaa au rafiki?
Kuna cheti niliona sababu ya kifo ikawa kutoa mimba na hiiilinipa kutafakari maisha ya dunia kwa mara ya pili.
Kwa imani yangu tunaambiwa siku ya kiama kila mwanadamu atapewa kitabu chake chenye hesabu yake, sasa nikawaza kama tunavyofanya attachement ya vitu vyetu huku duniani nikawaza kile kitabu kipo attached na death certificate yenye chanzo cha kifo kujiua, kutoa mimba nk, hvi hapa utajitetea vipi kwa Mungu
Tuzidi kuomba mwisho mwema
Kwenye cheti cha kifo sababu ya kifo haundikwa, kama malaria, kujiua nk
Je umewahi kuona cheti cha kifo cha ndugu , jamaa au rafiki?
Kuna cheti niliona sababu ya kifo ikawa kutoa mimba na hiiilinipa kutafakari maisha ya dunia kwa mara ya pili.
Kwa imani yangu tunaambiwa siku ya kiama kila mwanadamu atapewa kitabu chake chenye hesabu yake, sasa nikawaza kama tunavyofanya attachement ya vitu vyetu huku duniani nikawaza kile kitabu kipo attached na death certificate yenye chanzo cha kifo kujiua, kutoa mimba nk, hvi hapa utajitetea vipi kwa Mungu
Tuzidi kuomba mwisho mwema