Unafahamu unaweza kupata mimba ukiwa na mimba?

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,617
Reaction score
26,430
Points
113
Inatokea mara chache sana kwa mwanamke kupata mimba mbili kwa wakati mmoja, au kupata ujauzito akiwa mjamzito.

Wataalamu wanaorodhesha sababu tatu za kibaiolojia ambazo zinapelekea ugumu wa hilo kutokea:

1. Mayai kutozalishwa ama kutoka. Kawaida mwanamke anahitaji kutoa yai lenye afya ili apate ujauzito. Mara baada ya yai la kwanza kutoka na kufanikiwa kurutubishwa na kupandikizwa kwenye mji wa uzazi, homoni za uzazi ama ujauzito hutoa taarifa kwa ovari kwamba mayai hayaitajiki tena kwa sasa. Ikiwa mwanamke ana ujamzito, mji wa mimba hautapokea mayai tena, na virutubisho vyote vitakavyozalisha vitamwambia asijiandae kwa kuzaa.

2. Ukizungumzia mji wa uzazi ama mfuko wa uzazi, inakuwa ngumu kwa yai lingine lililorutubishwa ikiwa kuna la kwanza limerutubishwa na kupandikizwa kwenye mji huo.Kawaida utando wa mji huo hutanuka kusaidia kulishika yai la kwanza, hivyo ni ngumu kwa yai la pili kusaidika kwenye kingo za uzazi na utando huu.

3. Wakati wa ujauzito, kuna kitu kinachoitwa 'mucus plug', ni uteute kama makamasi unaotoka kwenye mfumo wa uzazi , ambao kazi yake sio kulinda tu mji wa uzazi dhidi ya maambukizi lakini pia inazuia mbegu za kiume kupita.


Kwa sababu hizi, wataalama wanaendelea kujiuliza inawezekanaje kupata mimba ukiwa na mimba?
1702659039550.png

Picha: Mwanamke mwenye mimba mbili huwa na watoto tumboni wanaotofautina kwa vitu vingi ikiwemo kimo na damu

Mpaka sasa kuna visa kama 10 vilivyoripotiwa duniani kuhusu wanawake waliopata ujauzito wakiwa wajawazito, ingawa inaelezwa huenda kukawa na visa vingi tu ambavyo hajiweza kurekodiwa. Hivi karibuni huko nchini Australia mwanamke anayeitwa Kate Hill, ambaye amekuwa na aina hii ya ujauzito mara mbili kwa siku 10.

Alijaliwa kuwa na mabinti wawili, Charlotte na Olivia, ambao waliitwa mapacha, ingawa walikuwa na siku kumi tu za kuishi.

Wote walizaliwa siku moja, lakini walikuwa na kimo tofauti na aina ya damu tofauti.

Kibaiolojia, suala hili kama halipaswi kutokea, kawaida vichocheo ama homoni za mimba huzuia ama hufunga mfumo wa mwanamke, na kumfanya ashindwe kutoa mayai wakati wa ujauzito. 'Ndio maana ujauzito juu ya ujauzito ni jambo la kushangaza'

Hakuna anayejua hasa kwa hakika, kwanini hili linatokea.
 
Inatokea mara chache sana kwa mwanamke kupata mimba mbili kwa wakati mmoja, au kupata ujauzito akiwa mjamzito.

Wataalamu wanaorodhesha sababu tatu za kibaiolojia ambazo zinapelekea ugumu wa hilo kutokea:

1. Mayai kutozalishwa ama kutoka. Kawaida mwanamke anahitaji kutoa yai lenye afya ili apate ujauzito. Mara baada ya yai la kwanza kutoka na kufanikiwa kurutubishwa na kupandikizwa kwenye mji wa uzazi, homoni za uzazi ama ujauzito hutoa taarifa kwa ovari kwamba mayai hayaitajiki tena kwa sasa. Ikiwa mwanamke ana ujamzito, mji wa mimba hautapokea mayai tena, na virutubisho vyote vitakavyozalisha vitamwambia asijiandae kwa kuzaa.

2. Ukizungumzia mji wa uzazi ama mfuko wa uzazi, inakuwa ngumu kwa yai lingine lililorutubishwa ikiwa kuna la kwanza limerutubishwa na kupandikizwa kwenye mji huo.Kawaida utando wa mji huo hutanuka kusaidia kulishika yai la kwanza, hivyo ni ngumu kwa yai la pili kusaidika kwenye kingo za uzazi na utando huu.

3. Wakati wa ujauzito, kuna kitu kinachoitwa 'mucus plug', ni uteute kama makamasi unaotoka kwenye mfumo wa uzazi , ambao kazi yake sio kulinda tu mji wa uzazi dhidi ya maambukizi lakini pia inazuia mbegu za kiume kupita.


Kwa sababu hizi, wataalama wanaendelea kujiuliza inawezekanaje kupata mimba ukiwa na mimba?
View attachment 2376

Picha: Mwanamke mwenye mimba mbili huwa na watoto tumboni wanaotofautina kwa vitu vingi ikiwemo kimo na damu

Mpaka sasa kuna visa kama 10 vilivyoripotiwa duniani kuhusu wanawake waliopata ujauzito wakiwa wajawazito, ingawa inaelezwa huenda kukawa na visa vingi tu ambavyo hajiweza kurekodiwa. Hivi karibuni huko nchini Australia mwanamke anayeitwa Kate Hill, ambaye amekuwa na aina hii ya ujauzito mara mbili kwa siku 10.

Alijaliwa kuwa na mabinti wawili, Charlotte na Olivia, ambao waliitwa mapacha, ingawa walikuwa na siku kumi tu za kuishi.

Wote walizaliwa siku moja, lakini walikuwa na kimo tofauti na aina ya damu tofauti.

Kibaiolojia, suala hili kama halipaswi kutokea, kawaida vichocheo ama homoni za mimba huzuia ama hufunga mfumo wa mwanamke, na kumfanya ashindwe kutoa mayai wakati wa ujauzito. 'Ndio maana ujauzito juu ya ujauzito ni jambo la kushangaza'

Hakuna anayejua hasa kwa hakika, kwanini hili linatokea.
Niajabu ila nafikiri tuwapumzishe wake zetu wakati wa ujauzito ili kupunguza sababu kama hizi na pia kutunza mbegu kwani haziliwi na mchwa bali zinakomaa na kutunza uhai
 
Niajabu ila nafikiri tuwapumzishe wake zetu wakati wa ujauzito ili kupunguza sababu kama hizi na pia kutunza mbegu kwani haziliwi na mchwa bali zinakomaa na kutunza uhai
Wajawazito ni watamu sana wana joto mda wote, buwezi elewa
 

Similar threads

Yaani watu wako wa tofauti kwenye hii dunia, inakuwaje unamdalalia chajuu mtu wako wa karibu? Unapata nguvu kabisa ya kumpiga cha juu mtu anaye kwamini? Mzazi ni mtu wa kumdalalia? Mke/mume ni mtu wa kumdalalia? Rafiki na ndugu ni watu wa kuwadalalia chajuu? Kuna jamaa leo kanipigia simu...
Replies
4
Views
376
Niaje wakuu? Mnanisikia mpaka huko nyuma?🎤 Nauliza hivii unaweza kuishi saudi arabia kwa marufuku hizi au bora ubaki bongo ule bata na umeme wa mgao? 1 Matumizi ya pombe na dawa za kulevya ni marufuku kabisa, Kuna katazo la utengenezaji, uuzaji, umiliki na unywaji wa pombe nchini Saudi...
Replies
11
Views
424
Habari 👋👋👋 Kama ilivyo ada Mimi shujaaa wenu nimekuja na jambo, naomba tujadili wote sisi Wana KF Je unaweza jifunza tabia mpya mfano Kuwa mkimya, kuachana na kuwaza/kutamani mapenzi, kunywa bia, kuacha ulevi, kupendeza hata kuwa MTU wa comedy Ikiwa sio hurka yako je? Utaweza jifunza na...
Replies
19
Views
845
Habari wana kijiji nimetumia muda wangu kusetup ili kurahishisha uingiaji na kujiunga katika kijiji chetu Kijijiforums all voice in the vilage matters
Replies
3
Views
191
Mambo vipi! Usalama wa mtaani kwenu ukoje? unaweza lala mlango wazi usiku bila kuhofia?
Replies
15
Views
282

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top