- Jul 3, 2023
- 1,875
- 3,962
- 113
Kutoka 8:1
BWANA akamwambia Musa, Ingia kwa Farao, ukamwambie, BWANA asema hivi, Wape watu wangu ruhusa, ili wapate kunitumikia.
Maandiko hapo juu yanasema bila kificho chochote yaani yuko direct lipi lilikua ni LENGO la kuwatoa wana Waisraeli misri.
Sababu ya kuwatoa watu wake misri ni ili wakamtumikie Mungu(Yehova).
Kuna siku utaitajika uoneshe kazi zako ulizofanya kwaajili ya ufalme wa Mungu(mkono mtupu haulambwi)
Taka sana kujua nafasi yako katika ufalme wa Mungu, fanya kazi ya Mungu kwa uaminifu, hata kama ni kidogo fanya hivohivo.
Biblia inasema ukiwa mwaminifu kwa mambo madogo utapewa yale yaliyo makubwa ...
Fanya unachoweza katika ufalme wa Mungu sio lazima uwe mchungaji au mtumishi, hapohapo ofisini, kwenye biashara yako unaweza kumtumikia Mungu kwa ukubwa...
Biblia inasema ujiwekee hadhina mbinguni, anza kuwa mchango wa kueneza Injili ya Yesu Kristo kupitia muda wako, fedha yako, cheo chako/nafasi yako, elimu yako, ushawishi wako, umaarufu wako, nguvu zako, ujana wako, ubaba/umama wako, uzee wako, n.k
Kwenda tu kanisani haitoshi, unatakiwa uwe na bidii, kwenda kanisani jumapili ni kawaida ila bidii ni kwenda na siku za katikati, kwenda na jumuiya/cell.
Kuwa na bidii nikusapoti kazi za Mungu kwa hali na mali, sio lazima utoe mamilioni, toa kwa vile moyo wako utakavo, saidia wasio jiweza, wafariji wasio na amani..
Tenda wema tafuta kufanya makusudi ya Mungu kila itwapo leo, usichoke kutenda mema..
BWANA akamwambia Musa, Ingia kwa Farao, ukamwambie, BWANA asema hivi, Wape watu wangu ruhusa, ili wapate kunitumikia.
Maandiko hapo juu yanasema bila kificho chochote yaani yuko direct lipi lilikua ni LENGO la kuwatoa wana Waisraeli misri.
Sababu ya kuwatoa watu wake misri ni ili wakamtumikie Mungu(Yehova).
Kuna siku utaitajika uoneshe kazi zako ulizofanya kwaajili ya ufalme wa Mungu(mkono mtupu haulambwi)
Taka sana kujua nafasi yako katika ufalme wa Mungu, fanya kazi ya Mungu kwa uaminifu, hata kama ni kidogo fanya hivohivo.
Biblia inasema ukiwa mwaminifu kwa mambo madogo utapewa yale yaliyo makubwa ...
Fanya unachoweza katika ufalme wa Mungu sio lazima uwe mchungaji au mtumishi, hapohapo ofisini, kwenye biashara yako unaweza kumtumikia Mungu kwa ukubwa...
Biblia inasema ujiwekee hadhina mbinguni, anza kuwa mchango wa kueneza Injili ya Yesu Kristo kupitia muda wako, fedha yako, cheo chako/nafasi yako, elimu yako, ushawishi wako, umaarufu wako, nguvu zako, ujana wako, ubaba/umama wako, uzee wako, n.k
Kwenda tu kanisani haitoshi, unatakiwa uwe na bidii, kwenda kanisani jumapili ni kawaida ila bidii ni kwenda na siku za katikati, kwenda na jumuiya/cell.
Kuwa na bidii nikusapoti kazi za Mungu kwa hali na mali, sio lazima utoe mamilioni, toa kwa vile moyo wako utakavo, saidia wasio jiweza, wafariji wasio na amani..
Tenda wema tafuta kufanya makusudi ya Mungu kila itwapo leo, usichoke kutenda mema..