Unaweza lala bila kufunga mlango usiku?

Mlango hufungwa mda wote iwe usiku au mchana. Better safe than sorry 🙃
 

Similar threads

Yaani watu wako wa tofauti kwenye hii dunia, inakuwaje unamdalalia chajuu mtu wako wa karibu? Unapata nguvu kabisa ya kumpiga cha juu mtu anaye kwamini? Mzazi ni mtu wa kumdalalia? Mke/mume ni mtu wa kumdalalia? Rafiki na ndugu ni watu wa kuwadalalia chajuu? Kuna jamaa leo kanipigia simu...
Replies
4
Views
376
Inatokea mara chache sana kwa mwanamke kupata mimba mbili kwa wakati mmoja, au kupata ujauzito akiwa mjamzito. Wataalamu wanaorodhesha sababu tatu za kibaiolojia ambazo zinapelekea ugumu wa hilo kutokea: 1. Mayai kutozalishwa ama kutoka. Kawaida mwanamke anahitaji kutoa yai lenye afya ili...
Replies
2
Views
400
Niaje wakuu? Mnanisikia mpaka huko nyuma?🎤 Nauliza hivii unaweza kuishi saudi arabia kwa marufuku hizi au bora ubaki bongo ule bata na umeme wa mgao? 1 Matumizi ya pombe na dawa za kulevya ni marufuku kabisa, Kuna katazo la utengenezaji, uuzaji, umiliki na unywaji wa pombe nchini Saudi...
Replies
11
Views
424
Habari 👋👋👋 Kama ilivyo ada Mimi shujaaa wenu nimekuja na jambo, naomba tujadili wote sisi Wana KF Je unaweza jifunza tabia mpya mfano Kuwa mkimya, kuachana na kuwaza/kutamani mapenzi, kunywa bia, kuacha ulevi, kupendeza hata kuwa MTU wa comedy Ikiwa sio hurka yako je? Utaweza jifunza na...
Replies
19
Views
845
Habari wana kijiji nimetumia muda wangu kusetup ili kurahishisha uingiaji na kujiunga katika kijiji chetu Kijijiforums all voice in the vilage matters
Replies
3
Views
191

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top