- Joined
- Jul 9, 2023
- Messages
- 3,821
- Reaction score
- 3,805
- Points
- 113
Mmeamkaje
Mke wa rafiki yangu anamsaliti mshikaji bila yeye kujua.
Jamaa anaishi mtaa wa nne kutoka hapa nilipo.
Mke wake anatoka na jamaa mmoja anaitwa Athumani. Wanajiachia hadharani bila kujali kuwa nafahamu hili
Jana usiku nimekutana na mshikaji wangu wakati nazungumza nae mkewe anasema aah muhindi wa kuchoma wewe ni mmbea sana. Jamaa yangu anatabasamu tu nikawaaga nikasepa
Kauli ya mke wa jamaa inaniuma sana. Kifupi tu Athumani ni mwathirika na jamaa yangu Sidhani kama ataponea kwenye hili.
Tukio kama hili likikukuta unafanyaje? unamweleza mhusika au? Je nimweleze jamaa kuwa mke wake anatoka Athumani?
Mke wa rafiki yangu anamsaliti mshikaji bila yeye kujua.
Jamaa anaishi mtaa wa nne kutoka hapa nilipo.
Mke wake anatoka na jamaa mmoja anaitwa Athumani. Wanajiachia hadharani bila kujali kuwa nafahamu hili
Jana usiku nimekutana na mshikaji wangu wakati nazungumza nae mkewe anasema aah muhindi wa kuchoma wewe ni mmbea sana. Jamaa yangu anatabasamu tu nikawaaga nikasepa
Kauli ya mke wa jamaa inaniuma sana. Kifupi tu Athumani ni mwathirika na jamaa yangu Sidhani kama ataponea kwenye hili.
Tukio kama hili likikukuta unafanyaje? unamweleza mhusika au? Je nimweleze jamaa kuwa mke wake anatoka Athumani?