Drizian
New member
- Jun 4, 2023
- 90
- 237
- 0
Kwa mechi iliyopigwa kwa Mkapa majamaa wanakaba katika njia hawaruhusu penetration pass wala kufanya makosa ya wazi. Kwenye kumshambulia sasa umakini mkubwa na pasi zenye macho golini hawana parapara.Habari za muda huu Wana TT.
Sioni mahala Yanga watapindua meza labda meza ya vikombe vya kawaha