Watu wataishi sayari ya Mars infikapo 2040

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Muhindi Wa Kuchoma

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 9, 2023
Messages
3,821
Reaction score
3,805
Points
113
Japo haiwezekani kuishi Mars kutokana na kukosa baadhi sifa ambazo zinaweza kusapoti uhai. Wanasayansi wengi wamekuwa wakitabiri kitakuwa na watu siku moja huko sayari ya Mars.

Hivi karibuni shirika la mambo ya anga la marekani NASA, limekuwa likifanya utafiti wa kina juu ya Mars. NASA wanadai ifikapo mwaka 2035 kutakuwa na ziara ya kupeleka watu huko Mars.

Kwa kasi ya utafiti inayoendelea natabiri kuwa mwaka ifikapo mwaka 2040 kutakuwa na watu wanaishi Mars. Ingawa maisha huko hayatakuwa kama hapa duniani. Itawalazimu watu:
1. Kujenga nyumba ndani ya ardhi. Nyumba hizi zitakuwa na mfumo wa kuzalisha hewa ya oxygen na maji safi ya kunywa. Hakuna miti kama duniani ya kuzalisha hewa ya oxygen hivyo hata kutoka nje ya nyumba itawalazimu watu kuvaa nguo maalumu "space suits" na kubeba mitungi ya gesi oxygen. Pia kutakuwa na vimondo na mawe ya angani yatakayoangukia Mars.

2. Mionzi ya jua inaweza kuwa ya athari kubwa ikiwa watu watatembea ardhini bila kinga maalumu. Hili swala limeleta mijadala mikubwa hivi karibuni. Wengi wamesema mionzi hii hatarishi haitakuwa hatarishi sana ikiwa watu wataishi ardhini.
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
To live on Mars you must take into consideration, the predominant factors such as:

Radiation: Mars has higher radiation levels due to the constant bombardment of rays and the inherent lack of a magnetosphere. However, it is farther away from the Sun which results in lower Vitamin-D levels. There are two possibilities here:
  • If human colonies on Mars settle on the surface, then Vitamin-D would not be a problem, but UV-rays would. This would result in people evolving to have a darker skin.
  • If humans make an underground colony to escape radiation, then the lack of Vitamin-D would favour pale complexions.
Immunity: Mars is sterile—it does not have any microbes. On Earth, our immunity system is constantly being exposed to foreign particles that it can fight. On Mars, there are no foreign particles, and hence the immunity system would not be put to use. Gradually, humans on Mars would have little to no resistance against germs and other foreign particles.

Gravity: One of the most important factors that will influence evolution is Mars’ low gravity. Astronauts in zero-gravity show significant reduction in bone mass and muscle mass. Losing muscle mass will show a higher incidence in cardiac problems among the humans in the colony. There would also be a spike in infant mortality rates, since pressures during childbirth would damage bones significantly. To combat this, higher bone-mass and muscle-mass will be selected. To compensate for that, humans would be significantly taller.
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Mbona duniani pazuri tu
Kadri siku zinavyoenda inawezekana huko baadae pakawa sio sehemu nzuri ya kuishu. Wanasayansi wanaona hili mapema wanatafuta mbadala wa sayari inayoweza kusapoti uhai.

Muhindi Wa Kuchoma weka uzi kwa sababu gani NASA na wengine wanataka mwanadamu aishi Mars?
 

Muhindi Wa Kuchoma

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 9, 2023
Messages
3,821
Reaction score
3,805
Points
113
Mbona duniani pazuri tu

ndio na mm nashangaa

Kadri siku zinavyoenda inawezekana huko baadae pakawa sio sehemu nzuri ya kuishu. Wanasayansi wanaona hili mapema wanatafuta mbadala wa sayari inayoweza kusapoti uhai.

Muhindi Wa Kuchoma weka uzi kwa sababu gani NASA na wengine wanataka mwanadamu aishi Mars?
Sababu dhahiri ambayo mara nyingi huletwa wakati wa kujadili kupeleka wanadamu Mars ni kuitumia kama makazi ya pili. Ikiwa tunao wanadamu kwenye sayari nyingine zaidi ya Dunia, hutupatia makao ya ziada kama tukio kubwa litaikumba dunia
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
mnataka kuleta mambo ya kwenye muvi..
Uelewa wako mdogo sana. Kwa nini Mars nataka nikufundishe
1. Jotoridi - Jotoridi limekuwa linaongezeka kila kukicha. Mabadiliko ya mazingira yanasababisha sehemu nyingine duniani kutoweza kukaliwa. Angalia Bara la Antarctica kama mfano mzuri. Je limaweza kukaliwa na mwanadamu? Kuna barafu hata haifai kulima

2 Vita za Nuklia - Unaona Russia, Ukrain na na NATO wako kwenye vita sasa. Ikitokea wakawa wanapigana nyuklia inaweza kuhatarisha maisha ya duniani kwa asilimia kubwa. Hili linasababishwa na mwanadamu ila kuna sababu ambazo ni za asili

3 Magonjwa - Magonjwa kama ulivyoona Corona ilikatisha uhai wa wengi. Hakuna la kuzuia magonjwa kama Corona kuna hapo baadae. Ikitokea watu wakateketea duniani walioko Mars wataendeleza maisalha

4 Dunia kugogwa na mawe yanayoelea angani. Ikitokea mawe makubwa yanayoelea angani yakagonga dunia basi maisha ya watu duniani yatafika mwisho. Ishawahi tokea kimondo kugongana na dunia ikapeleka Dinosaurs kupotea katika uso wa dunia


Sababu ziko nyingi penda kujifunza.
 

Muhindi Wa Kuchoma

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 9, 2023
Messages
3,821
Reaction score
3,805
Points
113

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,897
Reaction score
3,986
Points
113
naz
Uelewa wako mdogo sana. Kwa nini Mars nataka nikufundishe
1. Jotoridi - Jotoridi limekuwa linaongezeka kila kukicha. Mabadiliko ya mazingira yanasababisha sehemu nyingine duniani kutoweza kukaliwa. Angalia Bara la Antarctica kama mfano mzuri. Je limaweza kukaliwa na mwanadamu? Kuna barafu hata haifai kulima

2 Vita za Nuklia - Unaona Russia, Ukrain na na NATO wako kwenye vita sasa. Ikitokea wakawa wanapigana nyuklia inaweza kuhatarisha maisha ya duniani kwa asilimia kubwa. Hili linasababishwa na mwanadamu ila kuna sababu ambazo ni za asili

3 Magonjwa - Magonjwa kama ulivyoona Corona ilikatisha uhai wa wengi. Hakuna la kuzuia magonjwa kama Corona kuna hapo baadae. Ikitokea watu wakateketea duniani walioko Mars wataendeleza maisalha

4 Dunia kugogwa na mawe yanayoelea angani. Ikitokea mawe makubwa yanayoelea angani yakagonga dunia basi maisha ya watu duniani yatafika mwisho. Ishawahi tokea kimondo kugongana na dunia ikapeleka Dinosaurs kupotea katika uso wa dunia


Sababu ziko nyingi penda kujifunza.
sawa mwalimu, bado dunia ni salama naitaendelea kua salama...
 

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,897
Reaction score
3,986
Points
113

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
naz

sawa mwalimu, bado dunia ni salama naitaendelea kua salama...
Nimekuandikia sababu ambazo dunia inaweza kukosa usalama. Ilishawahi tokea Catastrophic hapo kabla na walikufa viumbe wengi sana. Kama vile Floods (Mafuriko ya Nuru) kuna maafa chungu mzima duniani.

Kina cha maji kinaongezeka kila siku kutokana na barafu kuyeyuka. Kuna makazi mengi watu wanaishi wamezungukwa na maji. Mfano Jarkata miji inazungukwa na maji angalia kwenye picha
11-19-ftjakarta__06.jpg
MF_TGTLR_0018-1024x825.jpg

Angalia miji Mingi inageuka kuwa jangwa. Mfano Dodoma ni nusu jangwa ila tunapoelelea siku moja inaweza kuwa jangwa. Kuna miji mingi duniani inaelekea kuwa jangwa. Soma👇👇


Nimekueleza hapo kabla Bara la Antarctica lilikaliwa na watu na wanyama. Leo hii Bara hili limekuwa halina watu. Kuna baadhi ya wanyama kama Penguin wanaishi. Ila ni barafu zaidi ya inchi 10 hakufai hata kulima. Nakuwekea picha uone unene wa barafu👇
Antarctica-Weddell-Sea-Riiser-Larsen-Ice-Shelf-Iceberg-with-Emperor-Penguins.jpg

La mwisho ujue watu wanaongezeka kila kukicha. Dunia imekuwa ndogo sasa Kuna nchi zimejaa sana angalia India au China kiasi kwamba hata nyumba zao zinaenda hewani. Dunia sio sehemu salama kama unavyofikiri ongeza uelewa utajua
 

Similar threads

Wakuu kwema? Binafsi yangu kuwaeleza watu kuhusu mipango yangu naona sio sawa maana watu niwajuaji sana wanaweza wakaanza kukushauri negatively au kukukatisha tama...
Replies
13
Views
762
Juzi nlikua naelekea Namanga kwenye shughuli za hapa na pale, nlipanda noah maana ndio usafiri wa huku. Sasa kilicho nishangaza nikwamba jamaa(dereva) kwanzia tumetoka Arusha hadi tunafika Namanga alikua ameweka wimbo mmoja yani hakuubadilisha.. mimi nmezoea nkipandaga nakuta ninyimbo za...
Replies
5
Views
485
Nakusalimu mwanaKF, ninafurahi kwakua umeamua kusoma bandiko hili... karibu sana, najua utapata kitu... Luka 17:11-14 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya. Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye...
Replies
3
Views
257
Nigudi ee? Niko gudi piaa. Umeshawai kujiuliza familia ya baba mama na watoto inaweza kuishije ndani ya chumba kimoja? Baba na mama huwa wanafanyaje mambo ya faragha katika chumba kimoja na watoto hata kama wamelala? Hapo nimezungumza tu kuhusu family members bado vyombo, kitanda, makochi...
Replies
14
Views
414
Niaje wakuu, hivi wabongo wanawazaga nini? Unakuta mtu anawazazi kijijini wakati wazazi wako hai hawajengei nyumba na hela ipo.. Ila mzazi akifa tu ndio anaanza kujenga kwa fujo(wiki moja), hizi hela za kujenga nyumba haraka hvi zinakuwaga wapi sku zote?.. Unajiuliza inamaana marehemu hakustaili...
Replies
7
Views
127

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom