- Joined
- Jul 8, 2023
- Messages
- 1,320
- Reaction score
- 2,995
- Points
- 0
Kwa mtu anayejua mpira,ndo ataelewa ninachosema,
kibabage anaspeed,
azizi k anaspeed,
skudu anaspeed,
msonda na mzize wana aspeed
yani kuna timu zitapigwa goli nyingi.
Yanga inayokuja itakuwa ya speed sana makabi naye anaspeed aisee
kibabage anaspeed,
azizi k anaspeed,
skudu anaspeed,
msonda na mzize wana aspeed
yani kuna timu zitapigwa goli nyingi.
Yanga inayokuja itakuwa ya speed sana makabi naye anaspeed aisee
Last edited by a moderator: