- Joined
- Jul 8, 2023
- Messages
- 1,320
- Reaction score
- 2,995
- Points
- 0
Kumekuwa na sito fahamu kwa wapinzani kuona yanga wapo kimya,ila labda nikuambie sisi yanga msimu huu tumehamua kufanya mambo yetu kimya kimya yani kama mafia vile.
Kwanza tumemtambulisha mchezaji mmoja mpaka sasa kibabage.
Yani wapinzani wanajiuliza mbona yanga hatuoni wakisajili na kutambulisha,walizoea makelele kama msimu uliopita ila sasa kimya kimya.
Tena taarifa za usajili hazipatikani kama walivyozoea,milango yote imefungwa hakuna taarifa inavuja hata.
Sisi yanga tumehamua kufanya mambo yetu kiprofessional,hatuishinkwa miheyemuko kama timu pinzani.
Kwanza tumemtambulisha mchezaji mmoja mpaka sasa kibabage.
Yani wapinzani wanajiuliza mbona yanga hatuoni wakisajili na kutambulisha,walizoea makelele kama msimu uliopita ila sasa kimya kimya.
Tena taarifa za usajili hazipatikani kama walivyozoea,milango yote imefungwa hakuna taarifa inavuja hata.
Sisi yanga tumehamua kufanya mambo yetu kiprofessional,hatuishinkwa miheyemuko kama timu pinzani.