- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 251
- Reaction score
- 571
- Points
- 0
Je una maujanja yoyote kuhusu kamari za casino? Weka hapa Ndo mahala pake
Kuna muda tunahitaji hupunguza stress baada ya mihangaiko ikiwemo kwenda casino. Nikizungumzia casino Kuna mambo mengi sana, bitches kamari pombe anasa na ushetani wa Kila aina
Hapo kwenye kamari ndo NAkazia zaidi kwani inaweza kua salama kwako pindi ukienda kucheza kamari.
Principle s ni mbili tu
"ALWAYS THE HOUSE WINS".
"BET WHAT YOU AFFORD TO LOSE".
1. Unatakiwa kujua Kwamba servers za casino ziko programed wewe uliwe na sio ule hio ni kwa faida ya casino (the house)
2. Usiwe na wenge stake kiasi ambacho hakitakuumiza sana. Usicheze table ya lakin tano wakati uwezo wako ni elf kumi maana kule Kuna watu wanajoin table za milioni mpaka tano.
Kuna casino daslam liko posta magogoni ukiwa unaenda kivukoni au mnazi mmoja.
Baadhi ya michezo rahisi kwa beginners ni
1.roulette
2. Black jack
3.poker
4.bacarat
5.slot (hapa usiguse ni kama dubwi)
Kuna muda tunahitaji hupunguza stress baada ya mihangaiko ikiwemo kwenda casino. Nikizungumzia casino Kuna mambo mengi sana, bitches kamari pombe anasa na ushetani wa Kila aina
Hapo kwenye kamari ndo NAkazia zaidi kwani inaweza kua salama kwako pindi ukienda kucheza kamari.
Principle s ni mbili tu
"ALWAYS THE HOUSE WINS".
"BET WHAT YOU AFFORD TO LOSE".
1. Unatakiwa kujua Kwamba servers za casino ziko programed wewe uliwe na sio ule hio ni kwa faida ya casino (the house)
2. Usiwe na wenge stake kiasi ambacho hakitakuumiza sana. Usicheze table ya lakin tano wakati uwezo wako ni elf kumi maana kule Kuna watu wanajoin table za milioni mpaka tano.
Kuna casino daslam liko posta magogoni ukiwa unaenda kivukoni au mnazi mmoja.
Baadhi ya michezo rahisi kwa beginners ni
1.roulette
2. Black jack
3.poker
4.bacarat
5.slot (hapa usiguse ni kama dubwi)