- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
Kumekuwa na watu wengi wakijitojeza wakodai kuwa kuna madhara kulala na kioo kutazama kitanda. Inaaminika kuwa kulala na kioo kutazama kitanda huleta:
Nadharia hii inatoka wapi?
Dhana kwamba hupaswi kulala mbele ya kioo hutoka kwa feng shui. Feng shui ni falsafa ya zamani ya Kichina ambayo inahusisha kupanga nyumba yako, vitu, na nafasi ya kuishi kwa mpangilio maalumu ili kusawazisha maisha.
Kuna madai kuwa kulala na kioo chumbani ni jambo baya. Mengi ya haya yanahusiana na dhana ya msingi kwamba vioo vinaaminika kuwa milango kwenda kwenye ulimwengu mwingine, pia inasemekana kuwa na kioo katika chumba chako cha kulala huongeza mara mbili aina ya bahati uliyo nayo.
Kuongeza bahati yako maradufu kunaweza kuwa jambo zuri ikiwa mambo yanaonekana kukuendea vizuri, lakini ikiwa bahati mbaya imekuandama katika maisha yako kwa njia nyingi, inaweza kuwa jambo baya kulala mbele ya kioo. Inaaminika kuwa kuwa na kioo mbele ya kitanda chako huongeza bahati nzuri au bahati mbaya maradufu, kulingana na kile unachopitia kwa wakati huo.
Inafikiriwa kuwa inaweza kusababisha kukosa usingizi na hata kusababisha ndoto mbaya. Imani ni kwamba tunapolala roho yetu huondoka kwenye mwili wetu. Hii inapotokea na roho yetu inapoona taswira yako kwenye kioo inashtuka na husababisha ndoto mbaya katika usingizi wako.
Inashauriwa hivi:
Inashauriwa kuziba kioo wakati wa kulala kwa kukifunika ili kisiweze athiri energy iliyo ndani ya chumba chako.
Hivyo hivyo TV pia zinashauriwa zisitamaze kitanda chako kwa sababu kioo chake hufanania kioo. Ili kuzuia matokeo mabaya yanayotokana na hili unashairiwa kufunika kioo cha TV unapoenda kulala.
- Mikosi,
- Kukosa usingizi,
- Kuvunjika kwa ndoa,
- Migogoro,
- Ndoto mbaya nk.,
Nadharia hii inatoka wapi?
Dhana kwamba hupaswi kulala mbele ya kioo hutoka kwa feng shui. Feng shui ni falsafa ya zamani ya Kichina ambayo inahusisha kupanga nyumba yako, vitu, na nafasi ya kuishi kwa mpangilio maalumu ili kusawazisha maisha.
Kuna madai kuwa kulala na kioo chumbani ni jambo baya. Mengi ya haya yanahusiana na dhana ya msingi kwamba vioo vinaaminika kuwa milango kwenda kwenye ulimwengu mwingine, pia inasemekana kuwa na kioo katika chumba chako cha kulala huongeza mara mbili aina ya bahati uliyo nayo.
Kuongeza bahati yako maradufu kunaweza kuwa jambo zuri ikiwa mambo yanaonekana kukuendea vizuri, lakini ikiwa bahati mbaya imekuandama katika maisha yako kwa njia nyingi, inaweza kuwa jambo baya kulala mbele ya kioo. Inaaminika kuwa kuwa na kioo mbele ya kitanda chako huongeza bahati nzuri au bahati mbaya maradufu, kulingana na kile unachopitia kwa wakati huo.
Inafikiriwa kuwa inaweza kusababisha kukosa usingizi na hata kusababisha ndoto mbaya. Imani ni kwamba tunapolala roho yetu huondoka kwenye mwili wetu. Hii inapotokea na roho yetu inapoona taswira yako kwenye kioo inashtuka na husababisha ndoto mbaya katika usingizi wako.
Inashauriwa hivi:
Inashauriwa kuziba kioo wakati wa kulala kwa kukifunika ili kisiweze athiri energy iliyo ndani ya chumba chako.
Hivyo hivyo TV pia zinashauriwa zisitamaze kitanda chako kwa sababu kioo chake hufanania kioo. Ili kuzuia matokeo mabaya yanayotokana na hili unashairiwa kufunika kioo cha TV unapoenda kulala.