Hekaheka za kwenye daladala

Anonymous

New member
Joined
Jun 4, 2023
Messages
515
Reaction score
143
Points
0
Hapa ni yote magumu tunayopitia kwenye daladala

Kigumu zaidi kwangu mimi nihiki, kunasiku nilipanda daladala tegeta to gerezani
Bwana we gari imefika jogoo imeshona na mimi nimesimama karibu na mlango wa gari mara akapanda kadada kamevaa abaya limemkaa hatari tena la pink fulani hivi

Yule dada alikuwa na kamwili kadogo alafu mweupe si akajichomeka mbele yangu
😂😂😂😂😂😂😂

Mbwana we akili niliwaza mpaka msiba wa marehemu babu lakini kichwa toto tundu kuliamka mzee kilihangaika maana ingekuwa fedhea hisia haziondoki waza hiki waza kila haziondoki kibaya sasa yule dada akawa anafanya kusudi kushindilia msambwanda kwangu aisee alivyoshuka nilisema

Ohhhh aleluhyaaaaa

Siku nyingine nilipanda na mmama ananongwa balaa usijiguse sema nilimwekea wa mbuzi

Siku nyingine nilipanda alafu pesa sina cash kuna mwanangu alipanda akanisave

Dahhh
 
Mbwana we akili niliwaza mpaka msiba wa marehemu babu lakini kichwa toto tundu kuliamka mzee kilihangaika maana ingekuwa fedhea hisia haziondoki waza hiki waza kila haziondoki kibaya sasa yule dada akawa anafanya kusudi kushindilia msambwanda kwangu aisee alivyoshuka nilisema

Ohhhh aleluhyaaaaa
🤣🤣🤣🤣 ungekufa ukiwa wima 🤣🤣🤣🤣
 

Similar threads

  • Article Article
WAHUSIKA Gerbet == @Gily Mkuu wa kituo == @mshamba_mkuu Muuza mahindi == @Analyse Wahusika wengine watakuja mbeleni KIJIJI CHA WAKAMOTO: Kijana msomi Gerbet anamaliza masomo yake ya udakatari na kupangiwa katika kijiji kiitwacho WakaMoto kwa ajili ya kupata kazi hapo, safari inaanza...
Replies
7
Views
346
Kichwa kinajieleza, Kuna baadhi ya muvie na simulizi ukiziangalia basi unajikuta umewakubali sana baadhi ya wahusika. Kwa mimi ni kama ifuatavyo: 1. Pedro Alonso/Berlin - Money heist Jamaa ana calmness, man of action, genius na yupo very cold. 2. Tommy shelby - peaky blinders Huu ni mwamba...
Replies
7
Views
377
Nawasalimu, alafu moja kwa moja kwenye mada. Mungu amekuwa akikuonyesha kibali kila siku, je, unashukuru vya kutosha kwa kuona hivyo? Je, unaweza kuona hata ishara ndogo kabisa ya uaminifu Wake katika maisha yako? Siri ya kuwa na maisha utele ni kushukuru...... Yesu alipoinua ile mikate 5...
Replies
6
Views
402
Hamjambo? Mimi sijambo 😃. Wakuu nimekutana na mjadala asubuhi wakati naelekea katika shughuli za watu hizi... Mjadala ulikua mzito, ndio mara ya kwanza kukutana na mjadala kila mtu anauchangia kwenye gari.. yaani walikua wanaushambulia haswaa.. Mjadala ulianza baada ya daladala nliyokua...
Replies
12
Views
425
Habari za muda huu all villagers. Kutokana ukuaji wa matumizi ya simu za mkononi na uwanda wake mpana wa matumizi mbalimbali applications mbalimbali zimetengenezwa kurahisisha mambo .Mimi hata nipoteze au ninunue simu mpya hizi ndizo orodha ya apps zangu ambazo haziwezi kukosa. 1.Whatsap ...
Replies
8
Views
614

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top