Hapa ni yote magumu tunayopitia kwenye daladala
Kigumu zaidi kwangu mimi nihiki, kunasiku nilipanda daladala tegeta to gerezani
Bwana we gari imefika jogoo imeshona na mimi nimesimama karibu na mlango wa gari mara akapanda kadada kamevaa abaya limemkaa hatari tena la pink fulani hivi
Yule dada alikuwa na kamwili kadogo alafu mweupe si akajichomeka mbele yangu
Mbwana we akili niliwaza mpaka msiba wa marehemu babu lakini kichwa toto tundu kuliamka mzee kilihangaika maana ingekuwa fedhea hisia haziondoki waza hiki waza kila haziondoki kibaya sasa yule dada akawa anafanya kusudi kushindilia msambwanda kwangu aisee alivyoshuka nilisema
Ohhhh aleluhyaaaaa
Siku nyingine nilipanda na mmama ananongwa balaa usijiguse sema nilimwekea wa mbuzi
Siku nyingine nilipanda alafu pesa sina cash kuna mwanangu alipanda akanisave
Dahhh
Kigumu zaidi kwangu mimi nihiki, kunasiku nilipanda daladala tegeta to gerezani
Bwana we gari imefika jogoo imeshona na mimi nimesimama karibu na mlango wa gari mara akapanda kadada kamevaa abaya limemkaa hatari tena la pink fulani hivi
Yule dada alikuwa na kamwili kadogo alafu mweupe si akajichomeka mbele yangu
Mbwana we akili niliwaza mpaka msiba wa marehemu babu lakini kichwa toto tundu kuliamka mzee kilihangaika maana ingekuwa fedhea hisia haziondoki waza hiki waza kila haziondoki kibaya sasa yule dada akawa anafanya kusudi kushindilia msambwanda kwangu aisee alivyoshuka nilisema
Ohhhh aleluhyaaaaa
Siku nyingine nilipanda na mmama ananongwa balaa usijiguse sema nilimwekea wa mbuzi
Siku nyingine nilipanda alafu pesa sina cash kuna mwanangu alipanda akanisave
Dahhh