- Jun 4, 2023
- 7,019
- 22,616
- 113
Habari za jioni
Wakati tuko kijiweni washikaji kama nane hivi tunapoga story za hapa na pale. Mwamba mmoja akawa anagamba kwamba usiku wake alipoga show zaidi ya Tano tena za kibabe. Kwa akili yangu nikamjibu hiyo ni Chai "uongo" sijataka kuamini kama ni kweli.
Binafsi nikipiga show tatu kwa usiku mmoja kesho sitaweza kuamka kwenda kazini na hata sitaweza kupiga show nyingine hata siku mbili zipite. Hili swala japo wengine walijigamba wanaweza nikajua tu zitakuwa story za vijiweni.
Hapa tunatupia experience, Je unaweza kwenda show ngapi kwa usiku mmoja? Kweli unaweza piga show tano na zaidi?![Grinning face :grinning: 😀](https://cdn.jsdelivr.net/joypixels/assets/8.0/png/unicode/64/1f600.png)
Wakati tuko kijiweni washikaji kama nane hivi tunapoga story za hapa na pale. Mwamba mmoja akawa anagamba kwamba usiku wake alipoga show zaidi ya Tano tena za kibabe. Kwa akili yangu nikamjibu hiyo ni Chai "uongo" sijataka kuamini kama ni kweli.
Binafsi nikipiga show tatu kwa usiku mmoja kesho sitaweza kuamka kwenda kazini na hata sitaweza kupiga show nyingine hata siku mbili zipite. Hili swala japo wengine walijigamba wanaweza nikajua tu zitakuwa story za vijiweni.
Hapa tunatupia experience, Je unaweza kwenda show ngapi kwa usiku mmoja? Kweli unaweza piga show tano na zaidi?
![Grinning face :grinning: 😀](https://cdn.jsdelivr.net/joypixels/assets/8.0/png/unicode/64/1f600.png)