- Jul 8, 2023
- 1,320
- 2,995
- 0
Kijiji forum ndo intake overLeo tumepigwa wengi yaani ukitamka neno kijiji imekula kwako .
Kwa mara ya kwanza nimekula ban pia kosa kusema neno kijiji
Nilisema nimejiunga kijiji forumAisee ,, kwenye uzi gani huo mmepigwa bann za hivyo maana wengi naona wamekula vichwa nikiwatag siwaoni
Pole sana aiseeNilisema nimejiunga kijiji forum
Nikawa nawashauri watu wajiunge pia
nimepapenda huku zaidiAisee ,, kwenye uzi gani huo mmepigwa bann za hivyo maana wengi naona wamekula vichwa nikiwatag siwaoni
BannedView attachment 675
Mwamba naye kapigwa banned
Poleni sana aiseenimepapenda huku zaidi
Unaniuliza mimi au naniWewe hujapigwq banned
Wewe ndioUnaniuliza mimi au nani
Mimi hua nawaalika watu pm sio jukwaani,,naogopa ban hatariWewe ndio
Watanifungulia wenyewe sima pressureMimi hua nawaalika watu pm sio jukwaani,,naogopa ban hatari
Jamani pakishamba tenaWatanifungulia wenyewe sima pressure
Kwanza pakishamba
mi hawajanipiga banPoleni sana aisee
Oukay,, vizuri kama ni hivyomi hawajanipiga ban
Kwani unapaonajeJamani pakishamba tena
Pa kawaida tu..ina tu mchezo wao waliouanzisha sio mzuriiKwani unapaonaje
Mzee unajua mwafrika ni mtu mjinga sana..Kuna Facebook, Tik Tok, Twitter na site kibao kila site na watu wakeLeo tumepigwa wengi yaani ukitamka neno kijiji imekula kwako .
Kwa mara ya kwanza nimekula ban pia kosa kusema neno kijiji
Sababu kuandika kijiji forumMzee unajua mwafrika ni mtu mjinga sana..Kuna Facebook, Tik Tok, Twitter na site kibao kila site na watu wake
Huu ni upuuzi kuwapiga ban watu bila sababu. .
hiyo sio sababu ya kuwapiga watu banSababu kuandika kijiji forum
Wivu umewajaahiyo sio sababu ya kuwapiga watu ban
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.