- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
Wanawake wa jamii ya Buganda, wasukuma na kutoka nyanda za juu kusini mwa Tanzania huwa wana utaratibu wa kupiga magoti wakati wanapoandalia wanaume chakula na wanaposalimia.
Tunaona wanaume kutoka Tanga, Zanzibar na Pwani wakienda sokoni na vikapu kununua mahitaji ya nyumbani
Kumekuwa na ubishani mkubwa katika Mambo mbali mbali yanayopaswa kufanywa na mwanaume na mwanamke. Je ni sahihi kwa tamaduni zote hizi za Kiafrica mwanaume kumpigia magoti mwanamke?
Tunaona wanaume kutoka Tanga, Zanzibar na Pwani wakienda sokoni na vikapu kununua mahitaji ya nyumbani
Kumekuwa na ubishani mkubwa katika Mambo mbali mbali yanayopaswa kufanywa na mwanaume na mwanamke. Je ni sahihi kwa tamaduni zote hizi za Kiafrica mwanaume kumpigia magoti mwanamke?