- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
- Thread starter
- #31
kwani kunakuvimbishiana kifua?Mwanaume lazima huonyeshe Eagle yako huwezi lipiwa mahari ukavimbisha kifua kwa mwanamke wakati umelipiwa.
Sio sawa kulipiwa mahari
kwani kunakuvimbishiana kifua?Mwanaume lazima huonyeshe Eagle yako huwezi lipiwa mahari ukavimbisha kifua kwa mwanamke wakati umelipiwa.
Sio sawa kulipiwa mahari
Ndani lazima usimame kama mwanaume ukilegeza utapandwa kichwanikwani kunakuvimbishiana kifua?
Tunafanya hivyo sana uchaganikuna mahali watu walikata mtoto wao kuzikwa kwasababu hakuwa amelipiwa mahari.. ikabidi watoe mahari ndio mtu azikwe
Hatunaga umbambambaTunafanya hivyo sana uchagani
Wanaoendana watoto mzee. Hayo ya kupendana wanatafutana wenyewekuweza kumhudumia ndo inamaanisha ndoa itadumu??
Ilibidi tuvute pisi Bure Mahali ni mapokeo tuNawasalimu wakuu
Swala la mahari limekua kipengele sana kwa vijana siku hizi wanalalamika kuwa kiasi ni kikubwa, wengine wanaona nikama imekua biashara yaani watoto wakike wamekua mtaji kwa wazazi wao...
Ninacho taka kuuliza
- Ni sawa mwanaume kusaidiwa kutoa mahari na mpenzi wako wa kike?
- Je ulipwaji wa Mahari ina ulazima wowote?.
- Je ni Agizo la kibiblia? Na kama ni hivyo Je! Adamu alitoa mahari kwa nani ili ampate Hawa?
ndio inawezekanamtoto anachangua mtu atakayekuja mpiga?
ahaa! kama huwezi kuwa mkali itakuaje manNdani lazima usimame kama mwanaume ukilegeza utapandwa kichwani
vuta nikuvutee... nashangaaga sana mtu umekuja kuoa lakini inageuka ghafla unakua kama mtuumiwaKwanza Mimi nadaiwa nilipaa faini tu ya kuzalisha mtoto wa watu ngombe nimetoka 0/3
Nikawaambia watanidai. Siku naenda kujitambulisha 1.2m ilikata nje ya mahali
Nikasema hii sio vitavuta nikuvutee... nashangaaga sana mtu umekuja kuoa lakini inageuka ghafla unakua kama mtuumiwa
Atakuambia huu fulie chupi siku mojaahaa! kama huwezi kuwa mkali itakuaje man
alafu shida ukishaoa, yule aliekua anakazana ulipe milioni mbili, anakuomba mtoto wake aje kukaa kwako kueposha gharama za hostelNikasema hii sio vita
ohoo! ila yeye siatakua anafua zangu daily, nini hiyo siku moja sio mbayaAtakuambia huu fulie chupi siku moja
nini??ohoo! ila yeye siatakua anafua zangu daily, nini hiyo siku moja sio mbaya
Unawaambia sasa kateni kwenye mahalialafu shida ukishaoa, yule aliekua anakazana ulipe milioni mbili, anakuomba mtoto wake aje kukaa kwako kueposha gharama za hostel
ok.. naandika mkuu, ntatumia hizi nondo baadae nkikuanini??
Ukishakubali kufua chupi zake kashakuoa tayari.
Kuna siku atamleta mwanaume ndani akudanganye ndugu yake
hapanaUnawaambia sasa kateni kwenye mahali
Kwqni wewe mtoto??ok.. naandika mkuu, ntatumia hizi nondo baadae nkikua
kukua ki majukumuKwqni wewe mtoto??
Sawakukua ki majukumu
Huo ndio uanaumeKwanza Mimi nadaiwa nilipaa faini tu ya kuzalisha mtoto wa watu ngombe nimetoka 0/3
Nikawaambia watanidai. Siku naenda kujitambulisha 1.2m ilikata nje ya mahali
Faini ya nini kwanza wafurahi umeisha na mtoro wao vinzuri,wengine hungolewa jinoHuo ndio uanaume
Ndio nasubiri mshamba aje aishi na mwanao anavyotaka.Faini ya nini kwanza wafurahi umeisha na mtoro wao vinzuri,wengine hungolewa jino
Na mahari hakuna
Mshamba atakuwa mzeeNdio nasubiri mshamba aje aishi na mwanao anavyotaka.
nani alaumiwe?Kijana wa sasa na wa zamani wana tofauti kubwa sana
Kijana wa zamani ukimpa mke bila mahari haoi
Kijana wa sasa wanalalamika kulipa mahari
Vijana wa kesho watataka walipiwe wao mahari
Vijana wa sasa wanatia aibu sananani alaumiwe?
ni wazazi wakulaumiwa, kunamaahali wamebugiVijana wa sasa wanatia aibu sana
Unalaumu wazazi kwa kushindwa wewe binafsi kutengeneza maisha yako?ni wazazi wakulaumiwa, kunamaahali wamebugi
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.