- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
Je, unadhani ni umri gani unaohesabika kama huyu mtu ni mzee? Ni miaka 40 hadi 60?, 50 hadi 70? ama ni umri zaidi ya huo?
Kuna msemo unasema "mzee mwisho chalinze" maana yake mjini hakuna wazee wote ni vijana. Uzee sio mwisho wa maisha na wazee pia wanastahili kusherekea maisha. Hivyo hata hapo kabla wazee walikuwa ni vijana barobaro.
Je utapofikia umri wa kuitwa mzee, utaishi kama mzee au kama kijana?
Kuna msemo unasema "mzee mwisho chalinze" maana yake mjini hakuna wazee wote ni vijana. Uzee sio mwisho wa maisha na wazee pia wanastahili kusherekea maisha. Hivyo hata hapo kabla wazee walikuwa ni vijana barobaro.
Je utapofikia umri wa kuitwa mzee, utaishi kama mzee au kama kijana?