jinsi kazi ya tour guide inavyonifanya ni enjoy maisha

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

The great manenge

New member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
1,320
Reaction score
2,995
Points
0
habari zenu

hii ni true story by manenge.

leo nimeona niwape japo kwa kirefu sana kuhusu hii kazi yangu ya professional tour guide,kwa majina yangu nileyepewa na wazazi wangu naitwa raymond joseph mushi,nimzaliwa wa machame.
nimeona ni share nanyi ilimjue kuhusu hii kazi ambayo haina mbwembwe ila ni kazi moja nzuri sana, nilipo maliza A-level moja ya shule kubwa sana arusha inaitwa EDMUND RICE SINON ndipo nikajiunga COLLEGE OF AFRICAN WILDLIFE MANAGEMENT, MWEKA – MOSHI ambapo nilisoma kwa miaka 3 nakupata ORDINARY DIPLOMA IN WILDLIFE TOURISM mpaka sasa nina nta level 5 ya tourism huwa nasoma kozi online,pia baada ya kumaliza masoma mweka nilijiunga na chuo cha usafiri NIT PALE NILIPATA COURSE YA PROFESSIONAL DRIVING na kupata lesen class c hii niliipata baada ya kufikisha 30 ages.


hii kazi rasmi nilianza 2019 nikiwa kama guide wa kupandisha wageni kilimanjaro baadaye nikachongewea mchongo na kuajiri na kampuni kubwa sana ya utalii arusha,ambayo nafanya nao kazi mpaka sasa mimi ni professional tour guide huwa naendesha pia nawapa information kwa vitu wanavyoniuliza watalii,pembeni yangu sina mtu wa kutoa information makampuni mengi sasa hivi wanataka dereva huwe umesomea tourism pia,basi nilipata kazi chapu maana cheti kilikuwa kinzuri pia leseni ipo safi,na elimu kichwani ya utalii kiujumla.


niliajiriwa na hiyo kampuni rasmi 2022 na kupewa mkataba wa miaka 4 ambapo kila mwaka mkataba unaboreshwa kutokana na comission nazopata kutoka kwa wageni nawaongoza,wakifurahia huduma yako kila trip ya kwenda porini kwenye accoun ya bank inasoma pesa ya kujikimu hiyo tofauti kabisa na mshahara 400000 mpaka 600000 kila trip moja bado tips za wageni na vizawadi vya simu,camera,laptop,boots na camping accesories huwa wanaziacha bongo.

katika kufanya kazi kwangu mpaka sasa nimetembea takiribani mbuga zote tanzania,na game reserves hizi ni mbuga nilizotembelea mpaka now

Arusha National Park​

Mahale Mountains National Park​

Katavi National Park​

Tarangire National Park​

tarangire_national_park.jpg

Lake Manyara National Park​

lake_manyara_national_park.jpg

Ruaha National Park​

ruaha_national_park.jpg

gombe Stream National Park​

gombe_stream_national_park.jpg

Mikumi National Park​

mikumi_national_park.jpg
Ngorongoro Conservation Area Park
ngorongoro_conservation_area_park.jpg

Kilimanjaro National Park​

kilimanjaro_national_park.jpg

Serengeti National Park​

serengeti_national_park.jpg
nitawapa sifa za kila national park hapa,pia nimetembelea game reserves mbalimbali hapa tanzania
tuanaanza hivi;
1.SERENGETI NATIONAL PARK
sifa ya kwanza ya serengeti hii ndo hifadhi kubwa ya wanyama hapa tanzania,ukienda serengeti utapata kuwaona kundi kubwa la wildebeest but also groups of zebra and Thomson's gazelle, Grant's gazelle and eland
huwa wanakipindi cha migration ni miezi ya

December-April​

May-July​

August-September​

October-November​

hiyo ndo miezi minzuri ya kutembelea serengeti hapo utaona group kubwa la wanyama wana movies kutafuta pastures nzuri
great-migration-serengeti-game-drive-small.jpggreat-migration-serengeti-tanzania-small.jpg
itaendeleeeeea
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
sioni kama kuna umuhimu wa kuweka majina yako humu, tunatumia secret id, au unasemaje Gily

afu unasema edmund rice ni shule kubwa arusha? nimecheka sana🤣
Kama mtu anataka verification anatuma ID anatumia majina yake

Kikubwa amependa mwenyewe. Ila Mr president inabidi nikija Arusha na familia uwe guide wangu.
 

Similar threads

Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma. Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa...
Replies
9
Views
281
  • Article Article
SEHEMU YA KWANZA. Nikiwa nimerudi kutoka shuleni nilikutana na mama nje ambaye alinambia tumepata mgeni ambaye atakua akitusaidia kazi za ndani yaani dada wa kazi, kutokana na uchovu na fimbo za siku hio hata sikua na hamu ya kutaka kujua zaidi kuhusu jambo hilo nilimjibu mama kwa kifupi...
Replies
63
Views
1K
JINSI YA KUREJESHA KWA KUPAKA RANGI CHUPA ZA KIOO Chupa za kioo (glass) ziko za aina nyingi, zenye rangi, na ambazo hazina rangi yaani (transparent). Chupa hizi mara nyingi huwa ni mabaki/uchafu (trash) baada ya kutumia vilivyo ndani kama jibini, soda, bia, juice, mafuta, unga, asali au...
Replies
10
Views
696
Kusanya vipande vya sabuni Ni bora kutumia sabuni isiyo na harufu; kwa njia hii, unaweza kuongeza harufu yako mwenyewe. Ikiwa unataka kutumia sabuni yenye harufu nzuri, hakikisha kwamba mabaki yote yana harufu sawa, vinginevyo unaweza kuishia na mchanganyiko wa harufu mbaya. Ikiwa unataka...
Replies
6
Views
506
Tatizo la kunyonyoka kwa nywele na kuwa na kipara limekuwa likiwatatiza wanaume wengi kwa muda. Shida hii mara nyingi huanza wanaume wakiwa wana miaka 30 hivi, na kufikia umri wa miaka 50 nusu ya wanaume huwa wanakabiliwa na tatizo hili. Tatizo hili hutokana na vinyweleo vya nywele, ambavyo...
Replies
18
Views
338

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom