Jinsi ya kutengeneza sabuni ya maji

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,617
Reaction score
26,429
Points
113
Wasalaam

MAHITAJI:
Sulphonic acid, soda ash, maji yaliyochujwa vizuri, perfume, Rangi yoyote inayovutia, sless, na Chumvi.

JINSI YA KUTENGENEZA:
Andaa vizuri chombo chako kwaajili ya kutengenezea sabuni yako kama ndoo au pipa pamoja na kuandaa malighafi zako huku ukizingatia usafi.

Tanguliza kumimina ssulphonic acid vijiko vitano vya chakula kwenye chombo chako.

Kisha inafatwa kwa kuweka soda ash iliyochanganywa na maji vijiko vitatu vya chai.

Weka maji lita tano ukifuatiwa na sless robo lita, chukua pafyum yoyote na uweke kijiko kimoja na nusu cha chai. Ongeza rangi kijiko kimoja cha chai na uanze kunyunyizia chumvi ambayo huleta uzito na kufanya sabuni yako isiharibike na kukaa muda mrefu.

Koroga vyote kwa pamoja kwa muda wa dakika ishirini na sabuni yako itakuwa tayari.

NB:
1. Malighafi zinapatikana madukani huko kariakoo.
2. Kunbuka kuvaa barakoa ili kuepusha kuvuta gas hatari zinazotokana na kuchanganya malighafi.
3. Pia tumia vifaa vya kujikonga kama gloves ma nguo kutokanana na sumu inayopatikana kutoka kwenye baadhi ya malighafi
4. Mchanganyiko wako utatoa sabuni lita 25 ikizidi hapo utakuwa umekosea vipimo.
 

Similar threads

Kusanya vipande vya sabuni Ni bora kutumia sabuni isiyo na harufu; kwa njia hii, unaweza kuongeza harufu yako mwenyewe. Ikiwa unataka kutumia sabuni yenye harufu nzuri, hakikisha kwamba mabaki yote yana harufu sawa, vinginevyo unaweza kuishia na mchanganyiko wa harufu mbaya. Ikiwa unataka...
Replies
6
Views
506
Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma. Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa...
Replies
9
Views
281
habari zenu hii ni true story by manenge. leo nimeona niwape japo kwa kirefu sana kuhusu hii kazi yangu ya professional tour guide,kwa majina yangu nileyepewa na wazazi wangu naitwa raymond joseph mushi,nimzaliwa wa machame. nimeona ni share nanyi ilimjue kuhusu hii kazi ambayo haina...
Replies
43
Views
1K
  • Article Article
SEHEMU YA KWANZA. Nikiwa nimerudi kutoka shuleni nilikutana na mama nje ambaye alinambia tumepata mgeni ambaye atakua akitusaidia kazi za ndani yaani dada wa kazi, kutokana na uchovu na fimbo za siku hio hata sikua na hamu ya kutaka kujua zaidi kuhusu jambo hilo nilimjibu mama kwa kifupi...
Replies
63
Views
1K
JINSI YA KUREJESHA KWA KUPAKA RANGI CHUPA ZA KIOO Chupa za kioo (glass) ziko za aina nyingi, zenye rangi, na ambazo hazina rangi yaani (transparent). Chupa hizi mara nyingi huwa ni mabaki/uchafu (trash) baada ya kutumia vilivyo ndani kama jibini, soda, bia, juice, mafuta, unga, asali au...
Replies
10
Views
696

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top