- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Wakubwa shkamooni!
Kiujumla inadaiwa wanawake ndio wana uo uwezo wa kutunza hela kuliko wanaume.. kwaili nakataa labda kama wanazungumzia wanawake wa zamani...
Hawa wa siku hizi wanaspend sana kuliko men, wananunua kila kitu kilicho mbele yao, sijui ni ugonjwa?
Kwa sisi men tuko vizuri mno jamani, acha tujipongeze...
Uzi tayari
Kiujumla inadaiwa wanawake ndio wana uo uwezo wa kutunza hela kuliko wanaume.. kwaili nakataa labda kama wanazungumzia wanawake wa zamani...
Hawa wa siku hizi wanaspend sana kuliko men, wananunua kila kitu kilicho mbele yao, sijui ni ugonjwa?
Kwa sisi men tuko vizuri mno jamani, acha tujipongeze...
Uzi tayari