- Jul 9, 2023
- 3,821
- 3,805
- 113
Utanunua nyumba auTofali za kuchoma zenyewe kama zenyewe tu ni decoration tosha sana, zikiwa zimetengenezwa kitaalamu na ukampata fundi kujenga anayeijua kazi yake vizuri, basi nyumba inapendeza sana bila hata kupaka rangi. Siji kujenga nyumba lakini.!
Ili nikifa watu wagombane?? ntapanga mpaka nakufa.Utanunua nyumba au
WATOTO wataishi wapi?Ili nikifa watu wagombane?? ntapanga mpaka nakufa.
Sio watoto, sema mtoto. Nina mpango wa kuwa na mtoto mmoja tu, atapanga pia.WATOTO wataishi wapi?
Sio watoto, sema mtoto. Nina mpango wa kuwa na mtoto mmoja tu, atapanga pia.
wewe ni nomaSio watoto, sema mtoto. Nina mpango wa kuwa na mtoto mmoja tu, atapanga pia.
Yachomwe kwa ustadiTofali chomaaa
KabsaYachomwe kwa ustadi
Itakuwa uyajuiTofali za kuchoma na mvua wapi na wapi? Zitayayuka chamsingi ni zege tu
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.