- Jul 9, 2023
- 3,787
- 3,778
- 113
Nina mwanamke wangu hawezi tumia njia za uzazi wa mpango kwa sababu zinamletea madhara. Mwanzo alikuwa anameza vidonge damu inatoka nyingi mpaka anazimia. Mara kadhaa anaenda hospital kujaziwa damu.
Ana tatizo la allergy mda mwingine kuna baadhi ya condoms zinamkataa pia. Alishaweka kijiti akanenepa na kutoka chunusi nyingi usoni. Hivyo amekuwa mzito kutumia njia nyingine za uzazi wa mpango. Akihofia kuwa zitamletea madhara makubwa ambayo anaishi nayo kwa mda mrefu
Nataka kujua Je kukojoa nje inawezekana? Ni njia salama kuzuia mimba? Nishawahi jaribu kukojoa nje nikashindwa hapo nyuma. Nilijikuta tu teyari wazungu hao. Nafanyaje niweze kukojoa nje?
Ana tatizo la allergy mda mwingine kuna baadhi ya condoms zinamkataa pia. Alishaweka kijiti akanenepa na kutoka chunusi nyingi usoni. Hivyo amekuwa mzito kutumia njia nyingine za uzazi wa mpango. Akihofia kuwa zitamletea madhara makubwa ambayo anaishi nayo kwa mda mrefu
Nataka kujua Je kukojoa nje inawezekana? Ni njia salama kuzuia mimba? Nishawahi jaribu kukojoa nje nikashindwa hapo nyuma. Nilijikuta tu teyari wazungu hao. Nafanyaje niweze kukojoa nje?