Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login
Wakuu mko gud? Mimi niko gudi kabisa na mshukuru muumba wa mbingu na nchi niko mzima, na nina furaha na amani, nmeshiba, na nina kama afu kumi na tatu za kenyA mfukoni😊
Najua mpaka hapa nitakua nimeshakwaambukiza ka furaha na ka amani kwa wote ambao hamko sawa😀
Kumekuwa na misemo ya hekima...
Habari ndugu zangu .
Nikiwa hapo ulipokuwa baada ya mimi kuja kufanya umbea wangu nilikuonea huruma sana mzee mwenzangu .
Mdomoni unaonekana mwamba ila sura na sauti vilinionesha kuwa unajuta ila hautaki kukubali .
Siku kadhaa ulizokaa kaka yangu umetoka umekongoroka kama sio wewe .
Aisee...
Habari ndugu zangu
Kuna haja ya kupima DNA watoto ulio walelea na kuishi nao kama watoto wako kweli? Kwa upande wangu naona sio sawa, kama umehisi mtoto sio wako unakausha tu, kuna watu wengi wameadopt watoto na wana amani telee..
Watu wanadai sababu inayofanya wa wafanye DNA test ni ili...
Wanaume wengi waliooa hawapendezwi na urafiki kati ya wake zao na wanaume wengine. Wengine wanaenda mbali sana kukataza wake zao wasijichanganye na wanaume.
Wanawake walio kwenye ndoa wengi wanajikuta marafiki zao wakubwa ni mashemeji zao na ndugu zao. Japo wanajichanganya na wanaume hukuti...
Wakuu nauliza tu kwa nia njema, je unafikiri kuna mapenzi siku za hivi karibuni au tamaa na maslahi binafsi yamewekwa mbele
Binafsi siamini kabisa katika mapenzi, naona ni kama kupoteza muda nasubiri vijana wenzangu wa kataa ndoa tuje hapa tushushe nondo
Watu wanauana sana, full stress no...