- Joined
- Jun 5, 2023
- Messages
- 26
- Reaction score
- 57
- Points
- 0
Mambo ambayo mwanamke anatakiwa kujua kahusu sehemu zake za siri
1. Sehemu za siri zinajisafisha zenyewe
Idadi kubwa ya wanawake, wana imani kuwa wakitumia bidhaa mbalimbali za urembo, kama sabuni basi ndio watajisafisha vizuri sehemu za siri. Hakuna haja ya kutumia chochote kusafisha sehemu ya siri, kwa sababu kunajisafisha yenyewe.
2. Ni muhimu kujua sehemu za siri kuanzia sehemu ya nje (Vulva)
Sehemu ya siri imegawanyika sehemu ya ndani na nje, sehemu ya nje ndio sehemu ambayo itakugusa kwenye nguo yako ya ndani. Wakati wa kuosha na maji ni muhimu sana kujua kutofautisha maeneo hayo.
3. Sehemu za siri za mwanamke ni kama bustani
Sehemu za siri zina jeshi kubwa la bakteria wazuri ambao wanasaidia kufanya kuwe na afya. Bakteria wazuri wanatengeneza ute ambao una asidi kidogo ambazo huuq bakteria wabaya, na hufanya kuweka unyevunyevu wakati wote.
Sababu hii inatakiwa kusiwekwe wala kupanguswa kwa kitu chochote ndani ya sehemu za siri ili kuhakikisha bakteria wazuri wabaki na kuwazuia bakteria wabaya kutokuchukua nafasi.
4. Nywele za sehemu za siri zipo hapo kwasababu.
Imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.
Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu kwenye ngozi, watu hujikata, na kusababisha maambukizi. Kama unataka kunyoa, unapaswa kutumia wembe safi, mpya, na unyoe usinyoe kipara, ili kuepusha maambukizi.
5. Umri unavyoenda unaathiri na sehemu za siri.
Baada ya miaka kadhaa ya kupata hedhi, wakati mwingine watoto, mayai ya uzazi huacha kuzalishwa na hedhi pia inakoma. Idadi ya homoni inayofanya mwili wa mwanamke uzalishe zinapungua sana, hii inaleta athari kwa sehemu za siri.
Tishu ambazo zinaleta unyevunyevu kwenye sehemu za siri zinapungua na kusababisha kubaki kukavu, na husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa. Sio lazima upate shida unaweza kutumia vilainishi.
BBC Swahili
1. Sehemu za siri zinajisafisha zenyewe
Idadi kubwa ya wanawake, wana imani kuwa wakitumia bidhaa mbalimbali za urembo, kama sabuni basi ndio watajisafisha vizuri sehemu za siri. Hakuna haja ya kutumia chochote kusafisha sehemu ya siri, kwa sababu kunajisafisha yenyewe.
2. Ni muhimu kujua sehemu za siri kuanzia sehemu ya nje (Vulva)
Sehemu ya siri imegawanyika sehemu ya ndani na nje, sehemu ya nje ndio sehemu ambayo itakugusa kwenye nguo yako ya ndani. Wakati wa kuosha na maji ni muhimu sana kujua kutofautisha maeneo hayo.
3. Sehemu za siri za mwanamke ni kama bustani
Sehemu za siri zina jeshi kubwa la bakteria wazuri ambao wanasaidia kufanya kuwe na afya. Bakteria wazuri wanatengeneza ute ambao una asidi kidogo ambazo huuq bakteria wabaya, na hufanya kuweka unyevunyevu wakati wote.
Sababu hii inatakiwa kusiwekwe wala kupanguswa kwa kitu chochote ndani ya sehemu za siri ili kuhakikisha bakteria wazuri wabaki na kuwazuia bakteria wabaya kutokuchukua nafasi.
4. Nywele za sehemu za siri zipo hapo kwasababu.
Imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.
Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu kwenye ngozi, watu hujikata, na kusababisha maambukizi. Kama unataka kunyoa, unapaswa kutumia wembe safi, mpya, na unyoe usinyoe kipara, ili kuepusha maambukizi.
5. Umri unavyoenda unaathiri na sehemu za siri.
Baada ya miaka kadhaa ya kupata hedhi, wakati mwingine watoto, mayai ya uzazi huacha kuzalishwa na hedhi pia inakoma. Idadi ya homoni inayofanya mwili wa mwanamke uzalishe zinapungua sana, hii inaleta athari kwa sehemu za siri.
Tishu ambazo zinaleta unyevunyevu kwenye sehemu za siri zinapungua na kusababisha kubaki kukavu, na husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa. Sio lazima upate shida unaweza kutumia vilainishi.
BBC Swahili