- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Nawasalimu wakuu
Swala la mahari limekua kipengele sana kwa vijana siku hizi wanalalamika kuwa kiasi ni kikubwa, wengine wanaona nikama imekua biashara yaani watoto wakike wamekua mtaji kwa wazazi wao...
Ninacho taka kuuliza
Swala la mahari limekua kipengele sana kwa vijana siku hizi wanalalamika kuwa kiasi ni kikubwa, wengine wanaona nikama imekua biashara yaani watoto wakike wamekua mtaji kwa wazazi wao...
Ninacho taka kuuliza
- Ni sawa mwanaume kusaidiwa kutoa mahari na mpenzi wako wa kike?
- Je ulipwaji wa Mahari ina ulazima wowote?.
- Je ni Agizo la kibiblia? Na kama ni hivyo Je! Adamu alitoa mahari kwa nani ili ampate Hawa?