- Joined
- Jul 8, 2023
- Messages
- 1,320
- Reaction score
- 2,995
- Points
- 0
Mbali ya kuwa na ndevu hizi humfanya mwanaume avutie zaidi kwa mwanamke, hizi ni faida za kiafya za mwanaume kufuga ndevu;-
1. Ndevu hulinda uso dhidi ya kemikali hatari pamoja na hewa chafu ambazo kimsingi husababisha uharibu wa chembe chembe hai za mwanadamu. Pia husaidia ngozi ya usoisizeeke haraka, isiwe na mikunjo na kuifanya ngozi kuwa yenye kuvutia.
2. Ndevu huifunika ngozi ya uso, ambapo hulinda tezi za mafuta zishambuliwe na bakteria hivyo humfanya mtu asiwe na chunusi.
3. Kuweka uso wako joto na kulinda kidevu chako kutokana na hatari.
4. Ni kuzuia ugonjwa wa koo na ufizi.
5. Matatizo mengi ya mfumo wa upumuaji huzuiwa kwa kufuga ndevu.
6.Ndevu ni utambulisho wa mtu kuwa ni wa heshima kwa mwanamke.
7. Utafiti unasema kuwa kadri ndevu zinavyo kuwa nyingi ndivyo mtu anavyozidi kuwa na hekima.
1. Ndevu hulinda uso dhidi ya kemikali hatari pamoja na hewa chafu ambazo kimsingi husababisha uharibu wa chembe chembe hai za mwanadamu. Pia husaidia ngozi ya usoisizeeke haraka, isiwe na mikunjo na kuifanya ngozi kuwa yenye kuvutia.
2. Ndevu huifunika ngozi ya uso, ambapo hulinda tezi za mafuta zishambuliwe na bakteria hivyo humfanya mtu asiwe na chunusi.
3. Kuweka uso wako joto na kulinda kidevu chako kutokana na hatari.
4. Ni kuzuia ugonjwa wa koo na ufizi.
5. Matatizo mengi ya mfumo wa upumuaji huzuiwa kwa kufuga ndevu.
6.Ndevu ni utambulisho wa mtu kuwa ni wa heshima kwa mwanamke.
7. Utafiti unasema kuwa kadri ndevu zinavyo kuwa nyingi ndivyo mtu anavyozidi kuwa na hekima.