KUMEKUCHA KUMEKUCHA KUMEKUCHA
Ndio maana ukagoma kujibu message zangu PM?Weeee jua limekuchwa, macho ya mekataa kutoka kwake, mawazo yamekwama tatizo ni boss, kila nionapo neno lake moyo unahangaika, jamani nifanyaje
Nipeni mbinu nimwambie , namuona kama malaika kwangu dhambi hana
Sikia mpendwa wangu Hakimu mimi kwako nyang'anyang'a, live longer
Haha anawindwaHakimu usije uza site tu kuwa makini
ShiiiiiiHakimu usije uza site tu kuwa makini
Atume picha kwanzaHaha anawindwa
Hakimu usije uza site tu kuwa makini
Naomba atume hapa hapa tumuoneAtume picha kwanza
Tatizo unasura kama unakula kibungo bila chumviNdio maana ukagoma kujibu message zangu PM?
Isijekuwa mbuzi kwenye guniaNaomba atume hapa hapa tumuone
Nimtext mara kibao hajibu salamu Haitii mimba
mademu wanajikuta
Tatizo mkifika miaka 30 hamjaolewa mnaleta shida sanaTatizo unasura kama unakula kibungo bila chumvi
Mzee unalazimisha mapenzi utakula banTatizo mkifika miaka 30 hamjaolewa mnaleta shida sana
Dogo hujamboMzee unalazimisha mapenzi utakula ban
Why?Duuuh asee inabidi nijitafute nijipate kwanza
Wewe huna hela unataka mademu wazuriDuuuh asee inabidi nijitafute nijipate kwanza
Oya mwenzako Brian atakusimulia alikula makofinya uso sasa ana vidonda vya tumboDogo hujambo
Time will tellWewe huna hela unataka mademu wazuri
Awe makini tu ushauri wangu na sio wivuHamna cha bure mkuuu.
Ndo nn hayo makofinya usoalikula makofinya uso sasa ana vidonda vya tumbo
Time gani wewe dogo at 25 nilikuwa DonTime will tell
Wivu sasa. Hata muandiko hujui kusoma kabisahuyu ni ke kweli??
mshamba nimekaa pale
Unaharibu ili watu wasitongozehuyu ni ke kweli??
mshamba nimekaa pale
Hizo pigo zake watu waache kutongozaWivu sasa. Hata muandiko hujui kusoma kabisa
Kila mtu na safari yake mzee hatuwezi fanana mi nikiwa na huo umri nilikuwa bado nakula na kunya kwa wazazi saivzi at 37 afadhali nina hela za kubadili mbogaTime gani wewe dogo at 25 nilikuwa Don
Huu mwandiko ni wa dogo tena unaonekana unakula bado kwa wazaziKila mtu na safari yake mzee hatuwezi fanana mi nikiwa na huo umri nilikuwa bado nakula na kunya kwa wazazi saivzi at 37 afadhali nina hela za kubadili mboga
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.