mshamba_mkuu
New member
- Jun 4, 2023
- 1,563
- 4,525
- 0
mshamba nimekaa paleHizo pigo zake watu waache kutongoza
Ila huyu demu ana moto balaa
mshamba nimekaa paleHizo pigo zake watu waache kutongoza
Ila huyu demu ana moto balaa
Umerogwa wewe
Naishi kwangu mkuu tuheshimiane sana aseee.Huu mwandiko ni wa dogo tena unaonekana unakula bado kwa wazazi
Msemo wangu huuu acha kuuiga aseemshamba nimekaa pale
Dogo ana wivu balaaa amekataliwa huko jf anakuja kuharibu huku.Umerogwa wewe
Kakataliwa na nani? nitagDogo ana wivu balaaa amekataliwa huko jf anakuja kuharibu huku.
Kavurugwa kweli. Tumuone huruma tu
kati ya mi na wewe nani kakataliwaDogo ana wivu balaaa amekataliwa huko jf anakuja kuharibu huku.
Kavurugwa kweli. Tumuone huruma tu
Anajua mwenyewe muulize tu.Kakataliwa na nani? nitag
ataharibu platform avuliwe umodTeh Teh Teh
Atakuwa Omo baba lowo
mshamba_mkuu kama ni kweli basi karibu dar twende beach ukaogeAnajua mwenyewe muulize tu.
Anavyonisemaga kuwa nina kosa madem mtaani mpaka nakuja jf yy sijui hajioni??
Kuna dem kwenye love connect alianzisha uzi wa kutafuta mume na kwenye uzi akamtag mshamba kuwa hataki type hizo maana ni mtoto bado anajitafuta.
Imagine new member anakuwa kakujua tiyari hii si gundu hilo
uongo mtupu sijakataliwa na mtumshamba_mkuu kama ni kweli basi karibu dar twende beach ukaoge
Nitakutag kule kwenye uzi uone Gily hukuona huo uzi kweli??mshamba_mkuu kama ni kweli basi karibu dar twende beach ukaoge
oyaaa kama huo uzi upo nakupa helaNitakutag kule kwenye uzi uone Gily hukuona huo uzi kweli??
Sitaki hela zako. Uzi upo ndiooyaaa kama huo uzi upo nakupa hela
kalete screenshotSitaki hela zako. Uzi upo ndio
Nimeenda kuutafuta na nimeupatauongo mtupu sijakataliwa na mtu
nahisi ni shangazi wa mule mule ana id nyingiaisee kajoin jana na anakujua mshamba
Kula chuma hicho.onyesheni screenshot
yuko 39 pale nabakwaKula chuma hicho.
Mmmh kuna ukweli hapa na huyo shangazi ni kama namjua in and out yaani namjua kuliko anavyojijua ngoja nianze ku connect dots.nahisi ni shangazi wa mule mule ana id nyingi
We ni mbishi sanaYou just sound like a non lady to my presence....
ulivo koment wakwanza ndio umearibu, ungejidai ujaona ili tukusake popote ulipoKUMEKUCHA KUMEKUCHA KUMEKUCHA
humu ndani visa haviishiulivo koment wakwanza ndio umearibu, ungejidai ujaona ili tukusake popote ulipo
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.