Yohana deogratius
New member
- Jun 4, 2023
- 2
- 3
- 0
Ukiwa mtoto mdogo ukiulizwa unahitaji kuwa nani wewe ulikuwa unajibu nini? Kwa upande wangu nlikuwa nataka kuwa dokta mara pirot mara engineer n.k nlikuwa sina muelekeo kwa sababu ya kukosa msimamo kamili but most of time nlitaka kuwa dokta lakini ugumu wa masomo ya physics na biology yakanilazimu nihame pcb na kuelekea kombi nyingne ya biashara na technology. Je wewe masomo gani yalikufanya uhame ktoka kwenye ndoto yko na sahv uko wapi???