Single time
New member
- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 106
- Reaction score
- 281
- Points
- 0
Wana kijiji kama una kijana mwaminifu na anaweza kufanya kazi vizuri yupo tu hana kazi anicheki pm nahitaji vijana kama wa 7 hivi wawe wanaishi Dar
Vijana kesho waje ofisini kuanza kazi tutawapa training kuhusiana na kazi husika. Pia nahitaji vijana walipo Tanga wawe wengi kidogo hawa kazi yao itaanza mwezi huu wasuniri maelekezo
Kuhusu mshahara tunalipa kulingana na dodos ambapo huwa zina badilika sisi hatuna mshahara tunalipa wages lakini pia mtu huyo awe na NSSF kadi na TIN number kutoka TRA
Please vijana wwe mwaminifu na kazi zetu mara nyingi ni nje ya mkoa please awe mwaminifu sito pendezwa nikipata kijana aje anisumbue au mtu unampa training anakimbia mitini nawasilisha kwenu.
Vijana kesho waje ofisini kuanza kazi tutawapa training kuhusiana na kazi husika. Pia nahitaji vijana walipo Tanga wawe wengi kidogo hawa kazi yao itaanza mwezi huu wasuniri maelekezo
Kuhusu mshahara tunalipa kulingana na dodos ambapo huwa zina badilika sisi hatuna mshahara tunalipa wages lakini pia mtu huyo awe na NSSF kadi na TIN number kutoka TRA
Please vijana wwe mwaminifu na kazi zetu mara nyingi ni nje ya mkoa please awe mwaminifu sito pendezwa nikipata kijana aje anisumbue au mtu unampa training anakimbia mitini nawasilisha kwenu.