Jumatatu naamkia makao makuu ya nchi , katika wiki kadhaa nyuma .
Huko nafanya kilicho nipeleka , najipanga kurudi ila nasema wacha nimpigie rafiki yangu mmoja kutoka huko kwa washua ( Wahaya)
Bila ajizi anapokea simu , makutano yanapangwa tunakuwa na muda mzuri sana kwenye kumbi za starehe ila kati kati ya usiku wakati bado tunafurahia mkojo wa sheitwani namuona rafiki hayupo sawa , mwingi wa simu , toka niingie zinakuwa nyingi .
Sasa mimi ni mstaafu najipa muda kutojihusisha na yasiyonihisu , nikiikumbuka kazi ya rafiki yangu kichwani jibu linajipa kuwa basi kuna shida .
Agahalabu sana kumuona katika hali ile , mimi huyoooo na maji yangu naendelea kuburudika nastuka asubuhi nisijue kuna nini nje na wala niliachana na rafiki yangu mda gani , maana hata bye hakuna aliyemtakia mwenzio .
Asubuhi na mapema niko na ratiba nirudi zangi kwa akina Mwaisa niendelee kula mdudu kwa Wagadugu kwa siri sana .
Ratiba inakuwa sawa ili mida ya saa sita niondoke , Mungu yuko nami mimi huyo Green city salama kabisa bila shida , nakaa siku ya kwanza na ya pili mara simu inapigwa kutoka kwa shemeji yangu mkewe na rafiki yangu wa kule mji mkuu .
Ghafla bin vuu ananipa taarifa ya kuumia kwa bwana ake na pia ati yupo Lugalo anaugulia maumivu kaumia kweli kichwani na mguu .
Roho ikaniuma maana jamaa tulispend usiku mzima ila asubuhi no kujuliana hali wala nini mpka napopewa taarifa ya kuumwa kwake .
Haraka sana ratiba inakaa mkao , mama mama la mama anasema kamuone mwenzio , mimi huyo njiani kwenda Dar es salaam kumuona rafiki .
Sasa siunajua tena Lugalo ni mazingira ya kujidai naingia vizuri tu sasa shida namuona mgonjwa ila ameumia kama vile kapigwa na mapanga , mara naona majeraha yaliyo na mashaka utahisi mtu kala chuma .
Nahoji ila majibu hayaniridhishi , basi jioni niko zangu kwenye nyumba ya baba na mama nakula upepeo lakini pia napiga miruzi miruzi kidogo ili hawa wahindi waliopanga hapa wajue mwenye mji niko around leo .
Usishangae napenda wajue ni nyumba zangu na wanipe heshima yangu hata kama nimerithi
Nabahatika kumuona mmoja wao ananipa heshima yangu na kiswahili chake cha kuungaunga nafurahi sasa narudi zangu ndani kuendelea na harakati zangu .
Badae kidogo shemeji yangu anayemkaa dada yangu anapiga simu kunipa hai , anastaajabu mimi kuwepo mjini anaomba tumeet sehemu tupate walau dinner mimi huyo kwa bwana shemeji mpaka maeneo yake ya kujidai.
Kichekesho namkuta yuko chakari sana mpaka nasema bado mimi , ananipa story mbili tatu na mwisho ananipa siri kubwa inayofichwa kwa sasa kuwa baka baka wapo wanakandwa kiaina huko kwenye mji wenye post code 61813 kwa mujibu wa sensa ya 2012
Naamua kukaa kitako anipe full info ndiyo anadai oooh watu wa 925 Kj wapo wanajipanga kwenda kuyaweka sawa ila ukweli wengi washapigika huko .
Duh sina shaka na shemeji yangu maana yupo sehemu ambayo yeye ni mpishi na muandaaji wa taarifa nyeti .
Sasa baada ya taarifa hizo ndiyo napata majibu kumbe jamaa yangu wa mji mkuu siku ile usiku aliponikimbia bar , aliitwa akaitika wito kwa wakubwa zake akazama huko kwenye mji wa post code 61813 ndiyo wakamkunguta na mpaka kuwa vile .
Sasa nikabaki kujiuliza kwanini walinificha kumbe bwana ni oda toka juu watu wasiambiwe kinachotokea huko .
Hapo nikamkumbuka Msukuma aliwatumaga mafia fulani wakawafyeka wale jamaa bila huruma sasa hivi shida nini mpaka rafiki zangi baka baka wanakandwa ?
Afande Mkuu tuelezeni jamani shid ni nini ? Kama wamerudi wale jamaa semeni tu ili sisi wenye ndugu huko tukae chonjo kuwatoa ndugi zetu au tujue kuwa msiba ni muda wowote huko maana wazee wa kazi wapo kazini tena .
Dp world inatosha mimi kuitetea ila huko hata mnilipe mamilioni katu sivai uniform kuingia infront
Tuelezeni tu ukweli ili tujue tunayo haki jamani
Nb
Nimeandika nikiwa nimelewa hata mimi sielewi nimeandika nini .
Huko nafanya kilicho nipeleka , najipanga kurudi ila nasema wacha nimpigie rafiki yangu mmoja kutoka huko kwa washua ( Wahaya)
Bila ajizi anapokea simu , makutano yanapangwa tunakuwa na muda mzuri sana kwenye kumbi za starehe ila kati kati ya usiku wakati bado tunafurahia mkojo wa sheitwani namuona rafiki hayupo sawa , mwingi wa simu , toka niingie zinakuwa nyingi .
Sasa mimi ni mstaafu najipa muda kutojihusisha na yasiyonihisu , nikiikumbuka kazi ya rafiki yangu kichwani jibu linajipa kuwa basi kuna shida .
Agahalabu sana kumuona katika hali ile , mimi huyoooo na maji yangu naendelea kuburudika nastuka asubuhi nisijue kuna nini nje na wala niliachana na rafiki yangu mda gani , maana hata bye hakuna aliyemtakia mwenzio .
Asubuhi na mapema niko na ratiba nirudi zangi kwa akina Mwaisa niendelee kula mdudu kwa Wagadugu kwa siri sana .
Ratiba inakuwa sawa ili mida ya saa sita niondoke , Mungu yuko nami mimi huyo Green city salama kabisa bila shida , nakaa siku ya kwanza na ya pili mara simu inapigwa kutoka kwa shemeji yangu mkewe na rafiki yangu wa kule mji mkuu .
Ghafla bin vuu ananipa taarifa ya kuumia kwa bwana ake na pia ati yupo Lugalo anaugulia maumivu kaumia kweli kichwani na mguu .
Roho ikaniuma maana jamaa tulispend usiku mzima ila asubuhi no kujuliana hali wala nini mpka napopewa taarifa ya kuumwa kwake .
Haraka sana ratiba inakaa mkao , mama mama la mama anasema kamuone mwenzio , mimi huyo njiani kwenda Dar es salaam kumuona rafiki .
Sasa siunajua tena Lugalo ni mazingira ya kujidai naingia vizuri tu sasa shida namuona mgonjwa ila ameumia kama vile kapigwa na mapanga , mara naona majeraha yaliyo na mashaka utahisi mtu kala chuma .
Nahoji ila majibu hayaniridhishi , basi jioni niko zangu kwenye nyumba ya baba na mama nakula upepeo lakini pia napiga miruzi miruzi kidogo ili hawa wahindi waliopanga hapa wajue mwenye mji niko around leo .
Usishangae napenda wajue ni nyumba zangu na wanipe heshima yangu hata kama nimerithi
Nabahatika kumuona mmoja wao ananipa heshima yangu na kiswahili chake cha kuungaunga nafurahi sasa narudi zangu ndani kuendelea na harakati zangu .
Badae kidogo shemeji yangu anayemkaa dada yangu anapiga simu kunipa hai , anastaajabu mimi kuwepo mjini anaomba tumeet sehemu tupate walau dinner mimi huyo kwa bwana shemeji mpaka maeneo yake ya kujidai.
Kichekesho namkuta yuko chakari sana mpaka nasema bado mimi , ananipa story mbili tatu na mwisho ananipa siri kubwa inayofichwa kwa sasa kuwa baka baka wapo wanakandwa kiaina huko kwenye mji wenye post code 61813 kwa mujibu wa sensa ya 2012
Naamua kukaa kitako anipe full info ndiyo anadai oooh watu wa 925 Kj wapo wanajipanga kwenda kuyaweka sawa ila ukweli wengi washapigika huko .
Duh sina shaka na shemeji yangu maana yupo sehemu ambayo yeye ni mpishi na muandaaji wa taarifa nyeti .
Sasa baada ya taarifa hizo ndiyo napata majibu kumbe jamaa yangu wa mji mkuu siku ile usiku aliponikimbia bar , aliitwa akaitika wito kwa wakubwa zake akazama huko kwenye mji wa post code 61813 ndiyo wakamkunguta na mpaka kuwa vile .
Sasa nikabaki kujiuliza kwanini walinificha kumbe bwana ni oda toka juu watu wasiambiwe kinachotokea huko .
Hapo nikamkumbuka Msukuma aliwatumaga mafia fulani wakawafyeka wale jamaa bila huruma sasa hivi shida nini mpaka rafiki zangi baka baka wanakandwa ?
Afande Mkuu tuelezeni jamani shid ni nini ? Kama wamerudi wale jamaa semeni tu ili sisi wenye ndugu huko tukae chonjo kuwatoa ndugi zetu au tujue kuwa msiba ni muda wowote huko maana wazee wa kazi wapo kazini tena .
Dp world inatosha mimi kuitetea ila huko hata mnilipe mamilioni katu sivai uniform kuingia infront
Tuelezeni tu ukweli ili tujue tunayo haki jamani
Nb
Nimeandika nikiwa nimelewa hata mimi sielewi nimeandika nini .