- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Mambo tunayochukulia kawaida ila yanamdhara...
1) Utumiajiwa vidonge vya kuzuia mimba p2/morning pills, sio kwajili ya uzazi wa mpango bali ni kwa dharura tu,,
Inashauriwa usitumie zaidi ya mara mbili kwa mwaka...
2) Kusikiliza muziki sauti ya juu kupitia, earphones au headphones kila wakati...
Inashauriwa kuzitumia kwa sauti ya chini, au kawaida, na sio muda wote..
3) Matumizi ya mswaki wa meno zaidi ya miezi mitatu,,
watu wengi wanatumia mswaki hadi unapinda hii sio nzuri kwa afya
Inashauriwa kutumia mswaki miezi mi tatu kisha ubadilishe
4) Inashauriwa umbali kati ya macho na pc/laptop uwe kati ya 20 na 40 inchi au (50 na 100 cm)
ili kuepusha kupata matatizo ya macho, pia umbali wa macho na screen ya tv uwe mara sita ya ukubwa wa sreen(wima)
kwa afya ya macho yako..
5) Mda wa kunywa maji baada au kabla ya kula, inashauriwa kunywa maji baada ya dakika 20 ukisha kula au dakika 30 kabla ya kula.
6) Kwa watumiaji wa simu, inashauriwa kuto tupa vocha uliyo kwisha itumia mahali ni mahali, pia kuto weka line uliyo okota kwenye simu yako, au kuweka line yako kwenye simu uliyo okota, ili kuepuka kuingizwa katika kesi usizo zijua, mfano wizi, mauaji, utapeli n.k
7) Inashauriwa kuto chaji simu usiku kucha karibu na sehemu unayo lala(kitandani, pembeni ya kitanda nk) kumekua na matukio ya simu kulipuka mara kadhaa wakati wa kuchajiwa....
lipi ni jambo linalochukuliwa kawaida ila linapaswa kufanywa kwa uangalifuu?...
Au mnatakaa na picha?
1) Utumiajiwa vidonge vya kuzuia mimba p2/morning pills, sio kwajili ya uzazi wa mpango bali ni kwa dharura tu,,
Inashauriwa usitumie zaidi ya mara mbili kwa mwaka...
2) Kusikiliza muziki sauti ya juu kupitia, earphones au headphones kila wakati...
Inashauriwa kuzitumia kwa sauti ya chini, au kawaida, na sio muda wote..
3) Matumizi ya mswaki wa meno zaidi ya miezi mitatu,,
watu wengi wanatumia mswaki hadi unapinda hii sio nzuri kwa afya
Inashauriwa kutumia mswaki miezi mi tatu kisha ubadilishe
4) Inashauriwa umbali kati ya macho na pc/laptop uwe kati ya 20 na 40 inchi au (50 na 100 cm)
ili kuepusha kupata matatizo ya macho, pia umbali wa macho na screen ya tv uwe mara sita ya ukubwa wa sreen(wima)
kwa afya ya macho yako..
5) Mda wa kunywa maji baada au kabla ya kula, inashauriwa kunywa maji baada ya dakika 20 ukisha kula au dakika 30 kabla ya kula.
6) Kwa watumiaji wa simu, inashauriwa kuto tupa vocha uliyo kwisha itumia mahali ni mahali, pia kuto weka line uliyo okota kwenye simu yako, au kuweka line yako kwenye simu uliyo okota, ili kuepuka kuingizwa katika kesi usizo zijua, mfano wizi, mauaji, utapeli n.k
7) Inashauriwa kuto chaji simu usiku kucha karibu na sehemu unayo lala(kitandani, pembeni ya kitanda nk) kumekua na matukio ya simu kulipuka mara kadhaa wakati wa kuchajiwa....
lipi ni jambo linalochukuliwa kawaida ila linapaswa kufanywa kwa uangalifuu?...
Au mnatakaa na picha?