Kama nakuona vile hujawahi vaa socks na Tai unaivaa kichwaniNilikuwa na kanjuka
Tai sivai ila soksi nilikuwa navaa ila sikumojamoja ndio sivai maana tumiguu twangu kama twa rangoKama nakuona vile hujawahi vaa socks na Tai unaivaa kichwani
kama nakuona ulivyokuw na vichelewaTai sivai ila soksi nilikuwa navaa ila sikumojamoja ndio sivai maana tumiguu twangu kama twa rango
MwaraaaabuuuNgoja nipost picha ya mkono wa mwananguView attachment 354
MkojaniiiiiiMwaraaaabuuu
1. kuvaa flana kila siku , sikupenda shati ps: mvivu kufuaHebu tueleze ulikuwa na swagger zip kipindi uko shule ?
Hii ilikiwa government school kabisa st kayumba1. kuvaa flana kila siku , sikupenda shati ps: mvivu kufua
2. kuvaa sendozi chini, sikupenda viatu vya kufunika
3. kukunja suruali mpaka kwenye magoti, ili iwe kama kaptula
Kambangwa Sec Schoolkabisa st kayumba
Unajua nimeishi Kin B na manyanya kitambo sana.Kambangwa Sec School
MtoroWaraap
Wakati niko shule nilikuwa nachomekeq shati mbele tu Kipindi hicho ilikuwa swagger kinyama.
Wenzangu na mimi ambao tushawahi vaa durak mpo humu
Hebu tueleze ulikuwa na swagger zip kipindi uko shule ?
mzee umepataje udaktariMtoro
Mzee hahahaaa! Umeamua kuweka uzi kabisaWaraap
Wakati niko shule nilikuwa nachomekeq shati mbele tu Kipindi hicho ilikuwa swagger kinyama.
Wenzangu na mimi ambao tushawahi vaa durak mpo humu
Hebu tueleze ulikuwa na swagger zip kipindi uko shule ?
Hizi pigo zako nazikumbuka unavaa Raba, ulikuwa na Raba flani hivi nyeupe na mlegezo na unaweka likitambaa jekundu mfuko wa nyumaMzee hahahaaa! Umeamua kuweka uzi kabisa
Mimi nilikua mtu wa kuvaa raba sana Adidas,all star na timberlands buti nyeusi...Deile lazima nipigishwe pushUp...Lkn sikuacha kuvaa hadi walinizoea....
Teacher kasongo alikua anaruka na mimi hadi alichoka akamua niwe rafiki yake...
Bila kusahau kitambaa changu kinaning’inia nyuma ya mfuko wa suruali...
Mtoro ila smart sana NilikuA napangiwa kiti kwenye mtihanimzee umepataje udaktari
Huyo huyo kisonga na miwani yake ameishusha puani...Akikukata jicho lazima uvurugwe kidogo...Hizi pigo zako nazikumbuka unavaa Raba, ulikuwa na Raba flani hivi nyeupe na mlegezo na unaweka likitambaa jekundu mfuko wa nyuma
dah ulikuwa na mikelele sana shule na fujo nyingi.
Unamaanisha teacher kisonga?
Yule mjinga wakati tuko form four alipiga fimbo wanafunzi zaid ya 400. Tena fimbo sio chini ya kumi. Alikuwa mshenzi mshenziHuyo huyo kisonga na miwani yake ameishusha puani...Akikata jicho lazima uvurugwe kidogo...
Sio likitambaa sema daleck!
Kuna siku alinibamba na mlamate messi chitete dah! Niliomba aridhi ipasuke nizame chini! Aisseee! Kule displini ofisi nilishambuliwa hatari....Kenya man! Malongoli, Bosco mzee wa totoz na yeye kisonga walinipa mikwaju ya kimataifa.....Ishu ikaja kuvuja kumbe na wao walikua wanamtaka yule manziYule mjinga wakati tuko form four alipiga fimbo wanafunzi zaid ya 400. Tena fimbo sio chini ya kumi. Alikuwa mshenzi mshenzi
Mimi sikuwahi kutoroka au kutega shule labda kuchelewa tena shifti ya mchana...Mtoro ila smart sana NilikuA napangiwa kiti kwenye mtihani
wewe wa kishua, pale jauNilipangiwa hapo o level sikwenda
wakishua ndio kitu ganiwewe wa kishua, pale jau
nilikua nakaa Mwananyamala, msisiri kwa nyumaSema hukuishi kule tungeweza kufahamiana
Nimekaa kazima street. Aisee mtoto wa kino inakuaje unakaa chanikanilikua nakaa Mwananyamala, msisiri kwa nyuma
kwa Khadija Kopa
huku hakuna wizi, M/Nyamala wameniibia sanainakuaje unakaa chanika
Oya utachezea baniMkojaniiiiii
Hebu piga zile za "we ng'ombe hunijuiiii"Oya utachezea bani
huko kuwa makini kuna hakuna wakabaji ila kuna wabakajihuku hakuna wizi, M/Nyamala wameniibia sana
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.