dronedrake
New member
- Jun 5, 2023
- 611
- 2,003
- 0
wazaramo laini laini kama wa Tumbatu, naruka nao kininjahuko kuwa makini kuna hakuna wakabaji ila kuna wabakaji
mie mwenyewe mtoto wa mbwa
wazaramo laini laini kama wa Tumbatu, naruka nao kininjahuko kuwa makini kuna hakuna wakabaji ila kuna wabakaji
mzee unatembea na mafuta ya baby care for so many reasonswazaramo laini laini kama wa Tumbatu, naruka nao kininja
mie mwenyewe mtoto wa mbwa
HAPANA HAPANA HAPANAmzee unatembea na mafuta ya baby care for so many reasons
Kuna jamaa anaitwa @D'UsséV$OP Cognac alikuwa mkorofi nimesoma nae kipindi hichomi nilikua mkorofi balaa
Dah! Hii sifa ya kijinga sana mbona unawekea mkazo sana wewe jamaa!Kuna jamaa anaitwa @D'UsséV$OP Cognac alikuwa mkorofi nimesoma nae kipindi hicho
alaaa unataka tuanze kutungiana vitu mzee tufanye yaishe basiDah! Hii sifa ya kijinga sana mbona unawekea mkazo sana wewe jamaa!
Mbona mimi sisemi kuwa ulikua unaogopa mademu na kunasiku tulikusakizia yule demu white hivi mwemba tukamwambia umesema unampenda na unataka uongee nae ila alipokufuata ukaanza kulia hahahahaaaa bisha na hii
Sio kutungiana inamaana umemsahau sophia kale kademu kembamba cheupe hivi kalikua kasistaduu kweli nahisi ndio maana uliogopa ukalia siku ile ulituchekesha sana wakati tumetoka tukiwa tunatembea kwenda mwenge ulikubali ukasema kweli unampenda ila unamuogopaalaaa unataka tuanze kutungiana vitu mzee tufanye yaishe basi
dah ulikuwa nundaSikuwa na swagger yoyote ile maybe
A level na O level
1.mcheshi kupindukia. Matani kaa yote
2.sipasi nguo aka rough guy.
3.mlafi kupindukia.
4.kudiss na kitukana walimu vibaya.
5.domo zege lenye kuogopa mademu
Acha tu alafu Nimesahau pia sisi ndo wale tunaofeligi mitihani ya shule yotedah ulikuwa nunda
aah matango pori yanasaidia sana kupata division oneAcha tu alafu Nimesahau pia sisi ndo wale tunaofeligi mitihani ya shule yote
Alafu necta tunaibukia na division 1 from no where,
Daaah maisha ya shule acha tu, aseee
Ndo nn hayo matango pori mkuu,aah matango pori yanasaidia sana kupata division one
Zile feki zilizokuw zinavuja kipindi kileNdo nn hayo matango pori mkuu,
HahahhhaHebu piga zile za "we ng'ombe hunijuiiii"
5.domo zege lenye kuogopa mademu
Umekaa boarding sana inaonekana dah wazazi walikuwa hawakutaki home kabisa kwa ukorofiSecondary
-Kuvaa model don't touch toka naanza secondary..
-Kuchomelea shart upande mmoja wa shart
-Kuwa na lab coat yenye mikono mifupi
-Kuongea story mda wa prepo mda ambao watu wapo kimya na wote walikua wanasikiliza
Primary...
-Kuvaa msuli siku za weekend
-uwongo mwingi
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.