- Joined
- Jul 3, 2023
- Messages
- 1,897
- Reaction score
- 3,986
- Points
- 113
Hamjambo(msijibu)...
Je umeshawai jiuliza kwanini na kupiga kooote mswaki lakini bado meno yanazidi kuwa ya njano?
Na wengine mmeenda mbali kabsa mkatukana hadi kolugeti na waitidenti kwamba ni matapeli,,
Sasa mimi nataka nikupige na kitu kizito kichwani,,,,
Ukitaka kufanya meno yako yawe meupee peee ni rahisi tuu yaani... kama hivii
#moja~ chukua kioo angalia rangi ya meno yakooo
#mbili~Weka dawa ya meno( maarufu kama dawa ya mswaki) mdomoni
#tatu~ ukisha weka iyo dawa mdomoni iache kama dakika moja au mbili
#nne~ baada ya dakika moja au mbili kuisha anza kubrashi meno yako sasa
#tano~ ukisha maliza kubrashi meno yako na kusukutua vizuri, Chukua kioo angalia tena meno yako, utagungua kuna changes kubwaa...
#sita~ endelea kufanya hivo mpaka utakapoona umerizika na weupe unao utaka..
NB; watu wengi wana haraka na spidi wakati wanapiga mswaki, awaachi hata dawa ifanye kazi yake ya kulainisha uchafu kwenye meno ndio waubrash..
Je umeshawai jiuliza kwanini na kupiga kooote mswaki lakini bado meno yanazidi kuwa ya njano?
Na wengine mmeenda mbali kabsa mkatukana hadi kolugeti na waitidenti kwamba ni matapeli,,
Sasa mimi nataka nikupige na kitu kizito kichwani,,,,
Ukitaka kufanya meno yako yawe meupee peee ni rahisi tuu yaani... kama hivii
#moja~ chukua kioo angalia rangi ya meno yakooo
#mbili~Weka dawa ya meno( maarufu kama dawa ya mswaki) mdomoni
#tatu~ ukisha weka iyo dawa mdomoni iache kama dakika moja au mbili
#nne~ baada ya dakika moja au mbili kuisha anza kubrashi meno yako sasa
#tano~ ukisha maliza kubrashi meno yako na kusukutua vizuri, Chukua kioo angalia tena meno yako, utagungua kuna changes kubwaa...
#sita~ endelea kufanya hivo mpaka utakapoona umerizika na weupe unao utaka..
NB; watu wengi wana haraka na spidi wakati wanapiga mswaki, awaachi hata dawa ifanye kazi yake ya kulainisha uchafu kwenye meno ndio waubrash..
Last edited by a moderator: