- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Nkewaisana(Nawasalimu)
Leo nimetoka kwenye msiba kumzika kijana aliejiua kwa kunywa sumu..
Tukio hili sio la kwanza yako mengi tu, na mengine ni ya watu maarufu kama yule aliye jitupa kutoka ghorofani..
Watu wengi wanadai kuwa ni ugonjwa wa akili, na mimi nakubali kwasababu nishaona watu wa hivo wakijaribu mara ya kwanza na ya pili ya tatu wanapita hivi..
Sababu zingine zinazo daiwa kupelekea watu kukataa ugali(kujiua), ni pamoja na matumizi yaliypo pitiliza ya pombe na madawa ya kulevya, kukosa matumaini, maumivu makali( ya mapenzi au ugonjwa au usaliti) upweke, kukosa msaada n.k.
Ila hata kama maisha ni magumu kiasi gani sio vema kujitoa uhai, kuna mambo mengi yanaleta raha kwenye hii dunia jamani, nikifikiria kwamba kuna siku ntadedi nashtuka... Napenda kuishi, napenda sana kuishi,..
Yaani nijiue alafu nimwachie nani kuogelea? Yaani niache vuruga kweli? Hapana bado natamani kwenda live band jamanii...
Leo nimetoka kwenye msiba kumzika kijana aliejiua kwa kunywa sumu..
Tukio hili sio la kwanza yako mengi tu, na mengine ni ya watu maarufu kama yule aliye jitupa kutoka ghorofani..
Watu wengi wanadai kuwa ni ugonjwa wa akili, na mimi nakubali kwasababu nishaona watu wa hivo wakijaribu mara ya kwanza na ya pili ya tatu wanapita hivi..
Sababu zingine zinazo daiwa kupelekea watu kukataa ugali(kujiua), ni pamoja na matumizi yaliypo pitiliza ya pombe na madawa ya kulevya, kukosa matumaini, maumivu makali( ya mapenzi au ugonjwa au usaliti) upweke, kukosa msaada n.k.
Ila hata kama maisha ni magumu kiasi gani sio vema kujitoa uhai, kuna mambo mengi yanaleta raha kwenye hii dunia jamani, nikifikiria kwamba kuna siku ntadedi nashtuka... Napenda kuishi, napenda sana kuishi,..
Yaani nijiue alafu nimwachie nani kuogelea? Yaani niache vuruga kweli? Hapana bado natamani kwenda live band jamanii...