- Jul 9, 2023
- 3,821
- 3,805
- 113
Ni jambo zuri kuwa na marafiki mkiwa mnasaidia na kushirikiana kwenye maswalq mbali mbali. Nikiwa mdogo nilikuwa na marafiki wa kutosha. Baada ya kuhama nilipokulia nimejuana na wengi bado siwezi waita marafiki.
Mda mwingine najiuliza hivi nikienda kuoa nitasindikiza na nani? Nimejaribu kutafuta rafiki hata mmoja kazi bure. Kuna sehemu nikasoma ukiwa mkubwa uwezo wa kutengeneza marafiki unapungua. Mtoto mdogo anaweza tengeneza marafiki popote pale anapoenda ila mkubwa ni ngumu
Je una marafiki? Una marafiki wa kushibana hata kukutetea pale inapohitajika?
Mda mwingine najiuliza hivi nikienda kuoa nitasindikiza na nani? Nimejaribu kutafuta rafiki hata mmoja kazi bure. Kuna sehemu nikasoma ukiwa mkubwa uwezo wa kutengeneza marafiki unapungua. Mtoto mdogo anaweza tengeneza marafiki popote pale anapoenda ila mkubwa ni ngumu
Je una marafiki? Una marafiki wa kushibana hata kukutetea pale inapohitajika?