- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Ukiwa unakibunda(pesa) mfukoni kuna namna mtu unakua na ujasiri wa kutembea hata tabasamu linakuja kirahisii (au nasema uongo wanakijiji? )
Ila unapokua huna pesa mfukoni yani unakosa ujarisi kabisaa, yani unaingia kwenye daladala unaiangalia kila saa isije tokea imepotea,
wanasema beba cash uwezi jua kitakacho tokea huko uendako..
Vp unaweza tembea road kama huna cash? au ukiwa huna ni bora ukae home
NAWASILISHA
Ila unapokua huna pesa mfukoni yani unakosa ujarisi kabisaa, yani unaingia kwenye daladala unaiangalia kila saa isije tokea imepotea,
wanasema beba cash uwezi jua kitakacho tokea huko uendako..
Vp unaweza tembea road kama huna cash? au ukiwa huna ni bora ukae home
NAWASILISHA