- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
- Thread starter
- #31
utaelewa siku moja kwa vitendo
Ila ukiwa na pesa kidogo lazima ujichungulie ili isidondokeutaelewa siku moja kwa vitendo
wamama hawanaga shida kwenye kuweka hela wanaekaga kwenye braIla ukiwa na pesa kidogo lazima ujichungulie ili isidondoke
Baridi mwanangu sana.
Na kweli sisi kwenye mifuko mara mtu atie mkono umechomoa cm imedondoka, ipotee mazingira ya kutatanishawamama hawanaga shida kwenye kuweka hela wanaekaga kwenye bra
hahaha ndo point yako kumbe ikitokea emergency kwa bahati mbayaunakosa uhuru yani, alafu anapanda mtu anakuangalia ili umlipie
Kuna watu wako radhi kulala na wanawake kuwafurahisha ila unakuta hajawahi kula hata kuku mzima peke yakeCash au sio ?
Anhaa kutembea bila pesa labda kama huna ila kama zipo tembea na pesa upepo na dunia vijue kuwa upo pia
ndio mkuuhahaha ndo point yako kumbe ikitokea emergency kwa bahati mbaya
Cash au sio ?
Anhaa kutembea bila pesa labda kama huna ila kama zipo tembea na pesa upepo na dunia vijue kuwa upo pia
unakaa kwa kutulia kama maji kwenye mtungiiAisee kama sina hela bora nijilaze tu home..natoka naenda wapi kwa mfano
mwendabure si sawa na mkaa bureAisee kama sina hela bora nijilaze tu home..natoka naenda wapi kwa mfano
hii nadhani ndio wanaita ugonjwa wa akiliKuna watu wako radhi kulala na wanawake kuwafurahisha ila unakuta hajawahi kula hata kuku mzima peke yake
haha unatafuta hela unamoa zote mwanamke kisa utelezihii nadhani ndio wanaita ugonjwa wa akili
Yani nakua mpoleunakaa kwa kutulia kama maji kwenye mtungii
Wee asikudanganye mtu utembee bila hela uone..kwanza unaona hufiki unakoendamwendabure si sawa na mkaa bure
unanitisha sasaWee asikudanganye mtu utembee bila hela uone..kwanza unaona hufiki unakoenda
Hamna inategmea lakini mbona kuna watu wanatembea hawana hata nauli..ila mimi binafsi siwezi toa mguu nyumbani bila helaunanitisha sasa
aisee hapo sawa kutokana na mazoeaHamna inategmea lakini mbona kuna watu wanatembea hawana hata nauli..ila mimi binafsi siwezi toa mguu nyumbani bila hela
Kwakweli,,, halafu mbona huji songea mjini wewe jamaaaisee hapo sawa kutokana na mazoea
nakuona unajipatia mchumba taratibuKwakweli,,, halafu mbona huji songea mjini wewe jamaa
Niacheeenakuona unajipatia mchumba taratibu
majuzi nilikuja hukoKwakweli,,, halafu mbona huji songea mjini wewe jamaa
Aya bhanamajuzi nilikuja huko
hakamatiki sioAya bhana
Wewe nimekwambia niacheeehakamatiki sio
haifaihaha unatafuta hela unamoa zote mwanamke kisa utelezi
sio poa kabisa
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.