Urafiki wako ukawe kwa waliojiajiri hawa waajiriwa watakuchelewesha sana .

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Watoto wa kidugala

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
195
Reaction score
704
Points
93
Afya n afya ila wote tutakufa .
Hii ni salamu yangu kwenu , mnielewe tafadhali aisee najua kwenye pitapita zako huko mtaani unatamani sana askari ,mara wanajeshi , daktari au hata banker wawe rafiki zako ?

Ni kweli nchi yetu ni nchi ya ulimwengu wa tatu hivyo sikatai umasikini ni mkubwa sana lakini rafiki yangu leo nakupa siri moja ya kuishi na kupanua ubongo wako .

Hao watu sikukatazi kuwa nao karibu ila nakushauri wawe ni jamaa zako tu wasiwe marafiki wa udi na uvumba ? Kwani ushajua nawasema akina nani ? Nawasema wale wote wanaoitwa waajiriwa .

Hawa jamaa hata kama wewe ukiwa mwenzao hawakupeleki popote zaidi mtaishia kukaa na kupeana ofa za pombe , kusindikizana misibani na kwenye masherehe ila jua the great future of your life hawapo nayo kabisa kwanini sasa ?

Ukweli uliowazi ni kuwa waliojariwa wengi ni kuwa wanatoka kwenye familia za chini sana , za kati na wachache familia bora , nakuona unashangaa unasema wewe mzee mbona hatukusomi iko hivi siongelei ajira naongelea viajira yaani walimu , askari polisi , wanajeshi wa vyeo vya kati na chini , watendaji , manesi , madaktari ila wengi wasio maMD nawasema hawa wa siku hizi eti Clinical officer .

Hawa ndiyo ninakuomba wawe jamaa zako ila usiwavute kuwa marafiki , nakuona unajiuliza hawa wanatoka local families ndiyo maana nisiwe rafiko nao , hapana rafiki nielewe umasikini ni tabia na ni utamaduni , nikuweke wazi kuwa kama unaye rafiki mtaani kwenu mnaemwita wa kishua , mtizame kama ana tabia za umbea umbea , unafiki , kufuatiliana , kujiona , ni wachache sana ila sasa mkute mtoto wa mama Asha wa keko juu

Ndiyo utajua nini maana ya kulinga na kujiona kisa ana kiakiba cha elfu nne mfukoni
Sasa turudi kwenye mada mbali na changamoto iliyojitokeza miaka ya karibuni ya ajira ila itoshe kukuambia ukweli kuwa hizo kada tajwa hapo juu hapo miaka ya nyuma kidogo ilikuwa ni ngumu kumkuta mtoto wa familia bora kwenye hizo kazi , ukweli mchungu ila nivumilie sijalewa niko sawa tu .

Sasa ni kuwa kwakuwa hizi kada mara nyingi waliojazana ni watoto wa kambalee basi uhama na tabia zao toka makwao yaani unafiki , wivu uliokithiri , majungu na kufuatiliana ndiyo maana jamii ya watu hawa wao maendeleo yao ni kuwa na kigari namba E , kanyumba ka vyumba vitano na tumifugo twa kuku , hapo anajiona ametoboa humwambii kiti 😀😀

Japo ukweli mchungu ni kuwa vyote wanavipata kupitia mikopo inayowaumiza mpka wanastaafu hivyo rafiki yangu mwanakijiji watu wa namna hii wewe unayewaza kuwa billionaire mara millionaire hawawezi kukupa mawazo chanya yoyote zaidi watakuonesha fursa ambazo tayari zishawahiwa .

Ndiyo wao ni mabingwa wa kuiga fursa zilizokwisha fanyika , leo atakuambia watu wa bajaji wabapiga hela , naye atakopa anunue bajaji siku mbili anaomba pooh mara madereva ni shida .

Mara matikitiki yana hela naye atakopa aweke hela huko , mara hela za kudownload .
Mwanakijiji hapa naziongelea hizi kada tajwa hapo juu hawa hawawezi kuona mbali ila karibu nako kwa kugeza mambo ya wengine .

Sasa mimi nakushauri jenga sana urafiki na mtu yeyote aliyejiajiri hawa ndiyo mataikon wenye hela na wenye kujua wapi hela iwekwe na kipi kitatokea , nisikilize wewe mwajiliwa uliwahi kujiuliza kama usingeajiriwa je ungefanya nini ?

Nakuona unatoa macho tu , ila hilo swali ukimuuliza aliyejiajiri atakuambia nilitaka kuwa daktari ila mimi sasa ni mjasiriamali na pia bado anaishi vizuri vipi wewe ?

Basi ukweli ni kuwa waheshimu sana watu waliojiajiri , kaa nao karibu wana siri nyingi ambazo hawawezi kukufungukia mpaka umewaweka karibu ila jua wana hela .

Ni watu wenye vingi visivyoonekana ila vinajitambulisha , wewe mhitimu , wewe muajiliwa na wewe mtafuta ajira kaa karibu na watu wa kujiajiri wanazo funguo zako za mafanikio .

Ndimi mzee mwanakijiji.
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Kuna watu wanasema umasikini unaweza kuurithi. Sijafatilia hili kiundani

Ila katika maisha yangu huwa nakaa mbali na Masikini wa Kiroho.
  • Unaweza kuta mtu tajiri anatamani vya masikini amilikI yeye
  • Unawez kuta mtu tajiri ila hata hawezi kula chakula kizuri
  • Unaweza kuta mtu tajiri anafanyia udalali hadi wale wasiokuwa nacho
  • Unaweza kuta tajiri ana roho ndogo hataki wengine wapate
  • etc..........
 

The great manenge

New member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
1,320
Reaction score
2,995
Points
0
Afya n afya ila wote tutakufa .
Hii ni salamu yangu kwenu , mnielewe tafadhali aisee najua kwenye pitapita zako huko mtaani unatamani sana askari ,mara wanajeshi , daktari au hata banker wawe rafiki zako ?

Ni kweli nchi yetu ni nchi ya ulimwengu wa tatu hivyo sikatai umasikini ni mkubwa sana lakini rafiki yangu leo nakupa siri moja ya kuishi na kupanua ubongo wako .

Hao watu sikukatazi kuwa nao karibu ila nakushauri wawe ni jamaa zako tu wasiwe marafiki wa udi na uvumba ? Kwani ushajua nawasema akina nani ? Nawasema wale wote wanaoitwa waajiriwa .

Hawa jamaa hata kama wewe ukiwa mwenzao hawakupeleki popote zaidi mtaishia kukaa na kupeana ofa za pombe , kusindikizana misibani na kwenye masherehe ila jua the great future of your life hawapo nayo kabisa kwanini sasa ?

Ukweli uliowazi ni kuwa waliojariwa wengi ni kuwa wanatoka kwenye familia za chini sana , za kati na wachache familia bora , nakuona unashangaa unasema wewe mzee mbona hatukusomi iko hivi siongelei ajira naongelea viajira yaani walimu , askari polisi , wanajeshi wa vyeo vya kati na chini , watendaji , manesi , madaktari ila wengi wasio maMD nawasema hawa wa siku hizi eti Clinical officer .

Hawa ndiyo ninakuomba wawe jamaa zako ila usiwavute kuwa marafiki , nakuona unajiuliza hawa wanatoka local families ndiyo maana nisiwe rafiko nao , hapana rafiki nielewe umasikini ni tabia na ni utamaduni , nikuweke wazi kuwa kama unaye rafiki mtaani kwenu mnaemwita wa kishua , mtizame kama ana tabia za umbea umbea , unafiki , kufuatiliana , kujiona , ni wachache sana ila sasa mkute mtoto wa mama Asha wa keko juu

Ndiyo utajua nini maana ya kulinga na kujiona kisa ana kiakiba cha elfu nne mfukoni
Sasa turudi kwenye mada mbali na changamoto iliyojitokeza miaka ya karibuni ya ajira ila itoshe kukuambia ukweli kuwa hizo kada tajwa hapo juu hapo miaka ya nyuma kidogo ilikuwa ni ngumu kumkuta mtoto wa familia bora kwenye hizo kazi , ukweli mchungu ila nivumilie sijalewa niko sawa tu .

Sasa ni kuwa kwakuwa hizi kada mara nyingi waliojazana ni watoto wa kambalee basi uhama na tabia zao toka makwao yaani unafiki , wivu uliokithiri , majungu na kufuatiliana ndiyo maana jamii ya watu hawa wao maendeleo yao ni kuwa na kigari namba E , kanyumba ka vyumba vitano na tumifugo twa kuku , hapo anajiona ametoboa humwambii kiti 😀😀

Japo ukweli mchungu ni kuwa vyote wanavipata kupitia mikopo inayowaumiza mpka wanastaafu hivyo rafiki yangu mwanakijiji watu wa namna hii wewe unayewaza kuwa billionaire mara millionaire hawawezi kukupa mawazo chanya yoyote zaidi watakuonesha fursa ambazo tayari zishawahiwa .

Ndiyo wao ni mabingwa wa kuiga fursa zilizokwisha fanyika , leo atakuambia watu wa bajaji wabapiga hela , naye atakopa anunue bajaji siku mbili anaomba pooh mara madereva ni shida .

Mara matikitiki yana hela naye atakopa aweke hela huko , mara hela za kudownload .
Mwanakijiji hapa naziongelea hizi kada tajwa hapo juu hawa hawawezi kuona mbali ila karibu nako kwa kugeza mambo ya wengine .

Sasa mimi nakushauri jenga sana urafiki na mtu yeyote aliyejiajiri hawa ndiyo mataikon wenye hela na wenye kujua wapi hela iwekwe na kipi kitatokea , nisikilize wewe mwajiliwa uliwahi kujiuliza kama usingeajiriwa je ungefanya nini ?

Nakuona unatoa macho tu , ila hilo swali ukimuuliza aliyejiajiri atakuambia nilitaka kuwa daktari ila mimi sasa ni mjasiriamali na pia bado anaishi vizuri vipi wewe ?

Basi ukweli ni kuwa waheshimu sana watu waliojiajiri , kaa nao karibu wana siri nyingi ambazo hawawezi kukufungukia mpaka umewaweka karibu ila jua wana hela .

Ni watu wenye vingi visivyoonekana ila vinajitambulisha , wewe mhitimu , wewe muajiliwa na wewe mtafuta ajira kaa karibu na watu wa kujiajiri wanazo funguo zako za mafanikio .

Ndimi mzee mwanakijiji.
Mzee unamsema nani huku??
Kuna watu wanasema umasikini unaweza kuurithi. Sijafatilia hili kiundani

Ila katika maisha yangu huwa nakaa mbali na Masikini wa Kiroho.
  • Unaweza kuta mtu tajiri anatamani vya masikini amilikI yeye
  • Unawez kuta mtu tajiri ila hata hawezi kula chakula kizuri
  • Unaweza kuta mtu tajiri anafanyia udalali hadi wale wasiokuwa nacho
  • Unaweza kuta tajiri ana roho ndogo hataki wengine wapate
  • etc..........
Matajiri marafiki zake matajiri
Wewe kapuku lazima unyonywe tu
 

Watoto wa kidugala

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
195
Reaction score
704
Points
93
Mimi bwana huko bar hawa walijiajiri ndiyo wanaweka heshima bar , ndiyo hawa hela wameizoea tayari .

Ila sasa ndugu waajiriwa akichukua hata ka mkopo ka milioni 19 basi hapo atawaza nyumba , gari la kutembeleaa, hapo eti alipe ada ya mtoto ya mwaka wakati waliojiajiri hapo anawaza azimwage wapi zilete mara kumi yake .

Nawaheshimu sana , nasema haya kuna lijamaa limoja limenifurahisha leo , limejiajiri na leo nilikaa nalo masaa mawili , kiukweli nimefurahi sana kukaa nalo
Kweli kabisa.

Japo ni mchungu 😁😁😁
 

Watoto wa kidugala

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
195
Reaction score
704
Points
93
Unamzungumzia nani humu??
Mimi simzungumzii yeyote humu ila kuna lijamaa liko safi kabisa leo limenipa maarifa makubwa sana .

Hili lijamaa halina shule kabisa ila lina mashamaba ya kahawa sasa leo lilikuja kujitolea jambo fulani kwenye kituo cha wanangu ndiyo nikasema wacha niliulizie mambo fulani ndiyo nikajua sikukosea kukaa karibu na wanaojiajiri
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Hata wakati nakua kampani yangu haikuwa ya vijana wadogo. Nimependa sana huo msemo kuwa matajiri marafiki zake matajiri

Ukikaa na watu utataka kufanana nao. Hivyo ukikaa na wezi utataka kuwa mwizi ili u fit nao. Kampani ya watu wenye vitu vilivyokuzidi ni ya faida sana

Namshukuru Mungu japo huwa naona bado sijafanya maendeleo. Ila vijana wengi hata wazee wanatamani sana maisha yangu. Ile basi tu mwanadamu huwezi ridhika. .
 

Similar threads

Wanaume wengi waliooa hawapendezwi na urafiki kati ya wake zao na wanaume wengine. Wengine wanaenda mbali sana kukataza wake zao wasijichanganye na wanaume. Wanawake walio kwenye ndoa wengi wanajikuta marafiki zao wakubwa ni mashemeji zao na ndugu zao. Japo wanajichanganya na wanaume hukuti...
Replies
11
Views
293
Wakuu kwema? Najua walimu niwatu wanaopaswa kupewa heshima kwakua wametutoa ujinga mwingi.. Ila kuna mambo ambayo nikiwa nasoma walimu walikua wanafanya nikifikiria kwa sasa naona kama walikua na akili za kitoto au walizingua... je kuna jambo walimu wako walizingua? Au kuna utoto walimu walikua...
Replies
13
Views
385
Nimekutana na ex wangu leo nilitamani kukutana nae siku moja nimulize kwa nini aliniacha? Nikamuuliza kwa Nini ulivunja mahusiano? Akanijibu "kwa sababu hakuwa ananipenda" Hii imenifanya niwaze sana. Nimewaza kwa sababu mara ya mwisho kusex nilimkalisha kifo cha mende. Baada ya dakika...
Replies
26
Views
704
Wakuu kwemaa? Tatizo ni mwanamke kumzidi mume wake kipato au tatizo ni mwanamke kutaka kua mwanaume ndani ya nyumba?.. Nauliza hivo kwasababu wanawake wengi wenye cheo, pesa, umaarufu ndoa zao nyingi zinakuaga na chengachenga... Naomba wanawake muwe wakweli je mnapenda kuwazidi waume zenu kipato?
Replies
18
Views
384
Vp kwa mlio makazini mishahara yenu inatosha? maana naona kila siku gharama zinaongezeka... Tupe mbinu unayo tumia kubalansi mshahara uleule zidi ya ongezeko la gharama za maisha...
Replies
32
Views
640

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom